Kuna uwezekano wa ku-renew laini ambayo haisajiliwa kwa vidole?

Kuna uwezekano wa ku-renew laini ambayo haisajiliwa kwa vidole?

Mwanakulipata

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2018
Posts
714
Reaction score
1,193
Habari wakubwa, kuna laini nilikuwa natumia ya airtel sikuisajili kwa vidole (ilifungiwa), juzi hapa nimepata namba ya NIDA sasa kabla sijaenda kuikamilisha wezi wameniibia simu ambapo hiyo laini ilikuwa ndani niliiweka tu.

Kuna uwezekano wa kurenew laini ya namna hii?

Mwanzo niliisajili kwa namba ya mpiga kura.
 
Si ungefika kwa wale majamaa wanaosajili wakupe muongozo.
 
Back
Top Bottom