Kuroot kwenyewe unajua....!?CR ndio kitu gani mkuu, help hata in short
Ukiroot inawezekana.. unaweza futa hata ringtones ukaweka unazotaka wewe, hata hiyo ku change boot animation anayotaka jamaa inawezekana.. Yaani unaweza tweak simu yako venye unataka ukiwa rootedHaiwezekani
CR (Custom Rom)CR ndio kitu gani mkuu, help hata in short
Hakuna kisichowezekana.Haiwezekani