Kuna uwezekano wa kulipa ada kwa mwezi chuoni?

Raelish

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2013
Posts
489
Reaction score
162
Habarini wakuu,

Yeyote mwenye uzoefu juu ya hili naomba anijulishe, kwamaana najua kuna watu wengi humu wamesoma elimu ya chuo.

Vipi kuna uwezekano wa kulipa gharama za chuo(diploma in medicine) kwa mwezi? yaani unachukua jumla ya gharama alafu unazigawa kwa miez 12 kisha unalipa kwa kila mwezi.

Naamin wengi humu wana uzoefu wa vyuo ndo maana nimelileta hili kwenu.(chuo ni private).
 

Yani unagawa kwa miezi 12 wakati muda wa masomo ni miezi 8?pia nijuavyo mimi fee inawezalipwa mara mbili mwanzo wa 1st&2nd sem
 
yani unagawa kwa miezi 12 wakati muda wa masomo ni miezi 8?pia nijuavyo mimi fee inawezalipwa mara mbili mwanzo wa 1st&2nd sem

Ni kweli inabidi ulipe mara mbili but ada yake ni ndefu sana, utakuta ni 2.6mil, so kumudu gharama hizi kwa mlezi ni ngum lakn inawezekan kulipa 215,000 hv kila mwezi mpaka deni linaisha.. ndo maana nikauliza km uwezekano huo upo au km kuna mtu aliyepata elimu ya chuo kwa mtindo huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…