Kuna uwezekano wa kumshitaki baba aliyekukataa?

Kuna uwezekano wa kumshitaki baba aliyekukataa?

Mungumaji

Member
Joined
Oct 14, 2014
Posts
54
Reaction score
4
Ninapatwa na hasira sana ninavyoona watoto wanakua bila kuwajua baba zao, hivi kunakifungu chochote cha kisheria au kesi iliyofanyiwa maamuzi na mahakama juu ya hii hali? hebu tusaidiane kwa hili saizi hali mbaya vijana wanakimbia majukumu yao.
 
Huna haj ya kupoteza muda wako kwenda mahakamani bure, lea wanao akijua ana watoto atakuja hataki aache Ila ajue siku ya kuoa au kuolewa atakuwa mgeni mwalikwa.
 
kwenda mahakamani anaweza nunua haki .... sasa muhimu ni kulea mwanao awe na maisha mazuri na muhimu.... basi
 
Back
Top Bottom