Kuna uwezekano wa kuomba kupandishwa cheo kupitia cheti cha degree kabla ya muda uliowekwa wa kutumikia cheo kimoja

Kuna uwezekano wa kuomba kupandishwa cheo kupitia cheti cha degree kabla ya muda uliowekwa wa kutumikia cheo kimoja

Mpatuka

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
2,261
Reaction score
3,580
Habar members, Tangu nimeajiriwa yapata mwaka mmoja kazini, niliajiriwa kwa kupitia cheti cha diploma lakini wakati huo tayari nilikuwa mwaka wa mwisho masomoni kwa level ya degree. Hivyo kwa maana hiyo nilipata ajira kipindi nipo masomoni.

Swali langu la msingi, ni kuwa kuna uwezekano wowote wa kuomba kupandishwa cheo kupitia cheti changu cha degree kabla ya kumaliza ule muda uliowekwa wa kutumikia cheo kimoja kazini kabla ya kupanda cheo kingine?
 
Kuwa mpole, hakikisha juhudi na nidhamu zinaonekana hapo kazini.

Siku ikitangazwa kazi mpya ngazi ya degree na unaona kabisa unaimudu basi wape cheti chako....utapewa kipaumbele hiyo nafasi Kwa kuwa tayari ni mwajiriwa wao.

Hapa ndio Huwa naona raha ya kuwa na cheti Cha Diploma unaanzia kuombea kazi mengine yatakukuta hapo hapo kazini.

Hongera sana, subra muhimu mkuu
 
Kuwa mpole, hakikisha juhudi na nidhamu zinaonekana hapo kazini.

Siku ikitangazwa kazi mpya ngazi ya degree na unaona kabisa unaimudu basi wape cheti chako....utapewa kipaumbele hiyo nafasi Kwa kuwa tayari ni mwajiriwa wao.

Hapa ndio Huwa naona raha ya kuwa na cheti Cha Diploma unaanzia kuombea kazi mengine yatakukuta hapo hapo kazini.

Hongera sana, subra muhimu mkuu
Asante mkuu
 
Kuwa mpole, hakikisha juhudi na nidhamu zinaonekana hapo kazini.

Siku ikitangazwa kazi mpya ngazi ya degree na unaona kabisa unaimudu basi wape cheti chako....utapewa kipaumbele hiyo nafasi Kwa kuwa tayari ni mwajiriwa wao.

Hapa ndio Huwa naona raha ya kuwa na cheti Cha Diploma unaanzia kuombea kazi mengine yatakukuta hapo hapo kazini.

Hongera sana, subra muhimu mkuu
Kaka ajira mpya zinapitia utumishi huko, hivyo nafikiri watafuata utaratibu wa PSRS
 
Habar members, Tangu nimeajiriwa yapata mwaka mmoja kazini, niliajiriwa kwa kupitia cheti cha diploma lakini wakati huo tayari nilikuwa mwaka wa mwisho masomoni kwa level ya degree. Hivyo kwa maana hiyo nilipata ajira kipindi nipo masomoni.

Swali langu la msingi, ni kuwa kuna uwezekano wowote wa kuomba kupandishwa cheo kupitia cheti changu cha degree kabla ya kumaliza ule muda uliowekwa wa kutumikia cheo kimoja kazini kabla ya kupanda cheo kingine?
Serikalini kama ni halmashauri hauwezi kupandishwa daraja kama bado hujathibitishwa kazini pili hata ukithibitishwa kuna kitu kinaitwa ikama yaani upungufu wa nafasi kwenye hiyo idara unayotaka kuomba kama wana upungufu wa kutosha ukithibitishwa tu unaomba kuhamia idarani chap ila kama hakuna uhitaji sana utasubiria hata miaka mitatu toka uwasilishe cheti chako kipya ndo utafanyiwa categorization cha mwisho na msingi ni mahusiano yako na HR wako pamoja na mkuu wa idara hiyo unayotaka kuhamia kumbuka mkono mtupu haulambwi muda mwingine unajiongeza
 
serikalini kama ni halmashauri hauwezi kupandishwa daraja kama bado hujathibitishwa kazini pili hata ukithibitishwa kuna kitu kinaitwa ikama yaani upungufu wa nafasi kwenye hiyo idara unayotaka kuomba kama wana upungufu wa kutosha ukithibitishwa tu unaomba kuhamia idarani chap ila kama hakuna uhitaji sana utasubiria hata miaka mitatu toka uwasilishe cheti chako kipya ndo utafanyiwa categorization cha mwisho na msingi ni mahusiano yako na hr wako pamoja na mkuu wa idara hiyo unayotaka kuhamia kumbuka mkono mtupu haulambwi muda mwingine unajiongeza
Ni taasisi lakini pia ni idara hiyo hiyo nilipo sasa.
 
Naona kama swali halijaeleweka Kwa wengi.

Nakujibu jinsi nilivyokuelewa, ukipata cheti chako cha degree andika barua ya kuomba kubadilishiwa mshahara Kwa kigezo cha kujiendeleza kitaaluma, hasa Kama degree uliyoipata inahusiana na ajira yako.

Vigezo vya kupanda cheo ni vingi na kujiendeleza kitaaluma ni kimojawapo, na kukaa miaka minne kwenye cheo kimoja NI kigezo kingine kisichoathiri kigezo cha kujiendeleza kitaaluma
 
Naona kama swali halijaeleweka Kwa wengi.

Nakujibu jinsi nilivyokuelewa, ukipata cheti chako cha degree andika barua ya kuomba kubadilishiwa mshahara Kwa kigezo cha kujiendeleza kitaaluma ,, hasa Kama degree uliyoipata inahusiana na ajira yako.

Vigezo vya kupanda cheo ni vingi na kujiendeleza kitaaluma ni kimojawapo,, na kukaa miaka minne kwenye cheo kimoja NI kigezo kingine kisichoathiri kigezo cha kujiendeleza kitaaluma
Sawa kaka uko sahihi kabisa nilimaanisha hivyo ulivyonielewa. Ni kweli kabisa Degree niliyoipata inahusiana na ajira yangu. Nitafanyia kazi ushauri wako.
 
Back
Top Bottom