Kuna uwezekano wa kupata mimba ?

buzbuz

Member
Joined
Feb 26, 2016
Posts
18
Reaction score
12
Habari wapendwa madaktari...naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kupata ujauzito baada ya kufanyiwa Hsg?
Asanteni
 
Inawezekana.

Ngoja nikuwekee link hapo chini.

Pitia na maoni ya wadau waliyomjibu muhusika ambae alikuwa ana mashaka kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…