Kuna uwezekano wa kuweka taarifa za biashara kwa kutumia smartphone? naomba msaada

Kuna uwezekano wa kuweka taarifa za biashara kwa kutumia smartphone? naomba msaada

MR MLAWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2020
Posts
304
Reaction score
507
Habari wakuu, kuna rafiki yangu anafanya biashara fedha (Electronic money transfer) nikimaanisha Tigo pesa, Airtel money, Halopesa n.k.

Amekua akitumia kuandika records zake kwa kutumia daftari siku zote.Kila ikifika muda wa kufunga hesabu hutumia daftari na kujua taarifa za biashara.

Sasa akaona aulize kuna uwezekano wowote wa kuweka taarifa au recods za biashara kwa kutumia smartphone naomba msaada.
 
Daftari ndio mpango mzima,simu ni rahisi kuzingua
😅😁, kwani unaishi zama za mawe za kati mkuu,Simu kuzingua labda utake wewe, kuna backup system reliable kabisa siku hizi, thanks to Google Drive hata ukipoteza Simu nzima kila kitu chako kipo, lakini Daftari likiungua panya akila, mtoto akimwagia maji au lolote lile linalowezekana kutokea. Anyway Google wapewe maua yao 🥳kwa kutuletea spreadsheet program nyingine tena kiganjani Google sheet 😎
 
Back
Top Bottom