abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
Mbona kama nyama
Ukoo wa Tangastone...Habari watanzania poleni kwa usumbufu nilikua nashida ya kufahamu haya Mawe naweza kuyapata wapi Tanzania mwenye msaada wowote ule anisaidie hata maelezo kuhusu haya Mawe asanteni.
Nenda Biharamulo! Yapo mengi tuHabari watanzania poleni kwa usumbufu nilikua nashida ya kufahamu haya Mawe naweza kuyapata wapi Tanzania mwenye msaada wowote ule anisaidie hata maelezo kuhusu haya Mawe asanteni.
Hombolo dodoma?Hombolo Makulu unapajua? Nenda.
hadi jiwe watu yapo!!hahahahhakuna jiwe lisilo patikana Tanzania!!