Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
- Thread starter
-
- #21
Kwa hiyo ameamua kipimo cha mimba ni thread.
sore switihati madafu, narejesha kadi la simba mida hii hii. tayarisha dinner.:hungry::hungry:umesemaje?....yanga ziiiii?....huli dinner leo nakwambia....ukale huko huko simba
Orait,hapa nilikuwa nataka kueleweshwa kuhusu mzunguko wa siku mzee na wala sio kupima mimba /kupima tutapima famacy nyingi tu wanauza vile vipimo
he!! kwa hiyo klorokwini unataka demu wangu awe na mimba lol!! pbado mapema mkuu sema mambo ya kuabort ndio hayatakuwepo kabisa h
mkuu hutaki tuongeze idadi ya washabiki? mimi nategemea kuleta washabiki wa simba kama nane hivi duniani.
condom ya nini wakati tulishapima tunajiamini sema hatujajiandaa tu kuwa na mtoto bado
nilitumia condoms lakini huwezi jua condoms hazina uhakika kwa % 100 nadhania hat wewe unalitambua hili ..au labda nimechakachuliwa nini bila kujuakama hauko tayari ungechukua measures kuhakikisha mimba haiingii...hii ni pamoja na kutumia condom,unauliza mzunguko ukoje baada ya kufanya ngono tayari??wewe vipi?ulitakiwa uulize haya kabla ya kufanya ngono na sio baada...kubali tu matokeo...lea mwanao huyo.
nishawaleta watatu, mmoja alirest in peace. 5 watafuatia. nipo katika mkataba wa kubadilisha katiba na waifu waongezeke 2 ili iwe 10, lakini waifu analeta upinzani mkali bungeni hata hao nane anapinga. sjui utanisaidia vp kufikia hii rezolusheni yangu ? eeh afro mwana wa denzi, hii haki kweli?duhh mi nilizani tayari unao...hahah lol au hawa ni wa JF tu..
hapa nilikuwa nataka kueleweshwa kuhusu mzunguko wa siku mzee na wala sio kupima mimba /kupima tutapima famacy nyingi tu wanauza vile vipimo
nilitumia condoms lakini huwezi jua condoms hazina uhakika kwa % 100 nadhania hat wewe unalitambua hili ..au labda nimechakachuliwa nini bila kujua
Mzee kipimo cha mimba ni very cheap...mchukue mkapime tu sio lazima iwe thread mtu wangu
nishawaleta watatu, mmoja alirest in peace. 5 watafuatia. nipo katika mkataba wa kubadilisha katiba na waifu waongezeke 2 ili iwe 10, lakini waifu analeta upinzani mkali bungeni hata hao nane anapinga. sjui utanisaidia vp kufikia hii rezolusheni yangu ? eeh afro mwana wa denzi, hii haki kweli?
asante kwa ushauri wako tuutazingatia huu ushaurisasa Ivunga siku nyingine kuepusha haya ...baada ya kufanya tu..
nendeni kwenye maduka ya madawa kanunueni morning after pills ...
ni masaa 48 baada ya kumaliza game...
lakini kwa sasa haita saidia ..
hii ni kwa future reference tu...
nishawaleta watatu, mmoja alirest in peace. 5 watafuatia. nipo katika mkataba wa kubadilisha katiba na waifu waongezeke 2 ili iwe 10, lakini waifu analeta upinzani mkali bungeni hata hao nane anapinga. sjui utanisaidia vp kufikia hii rezolusheni yangu ? eeh afro mwana wa denzi, hii haki kweli?
Yaani siku hizi kwenye jukwaa hili kuna thread za ajabu ajabu kweli. Baadae tutaanza kuwa tunaulizana kuwa kesho nina mpango wa kumtoa mke wangu out, hivyo nipeni ushauri. Yaani ni taabu tupu thread nyingine
asante kwa ushauri wako tuutazingatia huu ushauri
....mimi badi kumbe zumbukuku ..kuna mambo mengi bado natakiwa kuyajua
mmmhh kwanza hongera sana kwa hao malaika watatu...
Pole sana kwa amabaye ametutangulia ..
mmmmmmm kuhusu hao five kwa kweli mmhh sina la kusema..
hii hauwezi kufanya mwenyewe itabidi usali sana halafu uwanze kutembea na magoti mwombe mama
lakini usisema unataka 5.. hapana
sema unataka mmja tu zaid..
huyo mmja akisha kuja unatafuta mbinu nyingine ya kumpata mwingine...
hahahah sijui kama itafanya kazi..
mmmhh all the best..😛arty:
pole sana wa kumpoteza huyo mmoja
hapana wala we si zumbukuku
wanaume wengi hajui haya...
unajua saa nyingine mmetoka beach na mpenzio..
raha tupu unataka kumbeba tu umweke juu ya sink, washing machine, juu ya mmeza, kitandani n.k..
kwa raha zenu tu...
sasa kwa vile mmeshapima na wote mmko safi..
kwa nini bibie asichukue pills za kuzuia mimba....
au ka anaona atasahau apate injection....
unajua saa nyingine hutaki kula pipi kwenye mfuko wake ....
kama wote mko safi... condom zinatia kera..
senksi wakuu, acheni nikaongeze kilo mwilini kwanza. pliz leave the message after the tone. twiii
tatizo la huyu binti ni kwamba yeye anataka mtoto kutoka kwangu sio kwamba ananilazimisha lakini nandai kuwa akipata mimba hataitoa na atailea na dada yake anashabikia hii kitu sana