Kuna uwezekano wa mwanamke kutolewa kizazi wakati wa sex?

john johns

Senior Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
113
Reaction score
64
Toka niko mdogo na sasa nimekuwa nilikuwa naambiwa eti inawezekana mwanamke akang'ofolewa kizazi endapo atasex na mwanaume mwenye uume mrefu.

Sasa nawaza kuwa huo uzazi unaosemewa hapo ni uterus? na kama ndio inawezekanaje ikang'ofolewa kwa penis. ama inakuaje? nisaidie mnaofahamu


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwa sababu wewe ni ME , jibu ni rahisi sana.

Kama una mke na hauna kibamia basi utaelewa na mkeo anaelewa.

Ila Kama, una kibamia hata ukeshe na ushindie juu ya papunchi hakuna side effects.
 
labda miaka hiyo. hivi vibamia vya dar vinaishia tu kwenye mapaja hata kwenye papuchi havifiki sembuse kwenye kizazi?


Haaaa haaaa haaaa haaaa teeeh teeeh teeeh teeeh.

Aiseeeeeeeh.
 
Kwa sababu wewe ni ME , jibu ni rahisi sana.

Kama una mke na hauna kibamia basi utaelewa na mkeo anaelewa.

Ila Kama, una kibamia hata ukeshe na ushindie juu ya papunchi hakuna side effects.
ana kibamia chwa mwendo kasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…