Bila shaka mkuu unachaguliwa mojakwamoja direct entry we nenda tu!Wakuu nikiwa na alama hizi
Physics = B'
Chemistry = B'
Mathematics = C
naweza kuchaguliwa kujiunga na engeneering DIT
Bila shaka mkuu unachaguliwa mojakwamoja direct entry we nenda tu!
Wakuu nikiwa na alama hizi
Physics = B'
Chemistry = B'
Mathematics = C
naweza kuchaguliwa kujiunga na engeneering DIT
Kasome Civil Engineering
#soma CIVIL Eng wanaweza hata kukuchagua MUST me nilichagua dit ila wamenichagua huku
nna division II
mkuu
hongera,unaonaje ukienda kusoma high level then chuo?
yaaa ngoja nisubirie post ndugu mana sina uhakika kabisa kama ntachaguliwa collage
na nisipo pelekwa huko basi ntaenda PCB mana nna Physics B' , Chemistry B' na Biology B+
.Habari wanajamvi,form za kujiunga na dit zimeshatoka?kama tayari naweza kuzipata vipi
Wakuu nikiwa na alama hizi
Physics = B'
Chemistry = B'
Mathematics = C
naweza kuchaguliwa kujiunga na engeneering DIT
hicho ni chuo cha tekinolojia mbona unaulizia ajira?kimegeuzwa kuwa chuo cha kutoa watumishi badala ya wagunduzi,si ugundue tekinolojia ukiwa pale and become a scientist?. Nataka nikasome BIO MEDICAL ENGENEERING upande wa ajira imekaaje?
kwani hilo chaguo lake ni low level?hongera,unaonaje ukienda kusoma high level then chuo?
hongera,unaonaje ukienda kusoma high level then chuo?