Kuna Uwezekano wakuchaguliwa DIT nikwa na alama hizi.....!

Mbona umeshachelewa, hizo kozi ilibidi uchague ukiwa shule kipindi unajaza shule za kwenda Advance.
Othewise u-apply kama private Candidate.

Hujamuelewa alishachagua akiwa shule wasiwasi wake ni kuwa kwa matokeo hayo anaweza kuchaguliwa au akapigwa chini.
 
biomedical ipo vzr sema tatizo ni kwamba dit haina facility nzuri ya kuwawezsha kusoma vizuri maana hiyo course bado ni mpya na walimu wake pia ni wachache ila ndio course ambayo ina uhitaji mkubwa sana katika swala la ajira
wewe ropoka tu siri za watu,wakiona haya maandishi sisi hatukulindi,HATARI SANA ETI CHUO CHA TEKINOLOJIA,NAONA WAKIITE CHUO KAWAIDA TU MANA HAKUNA TEKINOLOJIA YOYOTE KIMELETA KWENYE ULIMWENGU WA TEKINOLOJIA
 
Wakuu nikiwa na alama hizi

Physics = B'
Chemistry = B'
Mathematics = C

naweza kuchaguliwa kujiunga na engeneering DIT

Utapata tu una grade nzuri tu! ila ukasome DIT sio lelemama kama ST.JOSEPH
 
Kama unataka gpa ya 4.9 nenda st joseph kama unataka elimu nenda DIT.
 
kila kitu kitakuwa sawa mkuu
ahsante kwa ushauli wako!

Kuwa makini na "ushauri" na "Washauri" waliokwisha jitokeza hapa. Sidhani kuna yeyote kati yao ama yuko DIT au amehitimu "DIT", sitashangaa kama wengine wanasoma Form III - Arts!

Ushauri wangu? Fuatilia mwenyewe, au tuma Ndugu au Rafiki, DIT Dar ili upate ukweli. Kama uko Mwanza, DIT wana Tawi Ilemela. Ninaamini utapata jawabu la ukweli.

Vinginevyo, hongera kwa "kukamua" O-Level na hongera kwa kuwa na nia ya kujikita kwenye Uhandisi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…