Kuna uwezekano wananchi wanaibiwa kwenye vitambulisho vya machinga

Kuna uwezekano wananchi wanaibiwa kwenye vitambulisho vya machinga

Mapensho star

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
3,052
Reaction score
4,104
Tangia mgombea wa CHADEMA mheshimiwa Tundu Lissu aanze kampeni zake nimemsikia mara kwa mara akiwaahidi wananchi kuwa akishika madaraka atafuta vitambulisho vya machinga na akaenda mbali zaidi kwa kusema hii ni Kodi ya kichwa

Sasa Jana wakati akiendelea na kampeni zake Dodoma ameligusia tena jambo hili na kusema "mkiona mnalipa pesa ya kitambulisho cha machinga basi mjue mnamlipa Magufuli"

Video hii hapa chini wakati akiwa Dodoma

 
Back
Top Bottom