KERO Kuna uzembe mkubwa utoaji huduma Hospitali ya wilaya ya Chato (DH), mamlaka zifike kufanya uchunguzi

KERO Kuna uzembe mkubwa utoaji huduma Hospitali ya wilaya ya Chato (DH), mamlaka zifike kufanya uchunguzi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kuna uzembe mno katika utoaji wa huduma, nishaenda pale zaidi ya mara tatu hakuna dawa unaambiwa ukanunue, sio dawa kama hazipo, nishawahi liamsha pale kutaka kupiga hadi simu kwenye mamlaka za hospitali, ndipo nikapatiwa dawa.

Mnaweza mkawa mpo kwenye foleni na hakuna anayejali, utakuta mtu yupo Bize na simu au kajifungia somewhere watu wapo kwa foleni wanamsubiri mhudumu.

Kuna vifo vingi vya wajawazito hutokea katika hospitali hii kwa uzembe wa wauguzi na matabibu!

Fuatilieni hiii hali sio nzuri.
 
Utakuta kuna mtumishi wa hiyo hospitali ana duka la dawa pembeni ya hospitali
 
Back
Top Bottom