Kuna Vibaka nawaona kabisa wanakula Rada Dirisha la Gheto langu, tafadhalini nichagulieni Adhabu ya kuwapa ambayo hawatoisahau Milele

Kuna Vibaka nawaona kabisa wanakula Rada Dirisha la Gheto langu, tafadhalini nichagulieni Adhabu ya kuwapa ambayo hawatoisahau Milele

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Je,

1. Wakija Kuniibia nimsaidie Kazi Israeli ili wakayaanze Maisha yao mapya Kinondoni au Kisutu?

2. Wakija Kuniibia niwe tu Mpole wachukue watakacho

3. Wakija Kuniibia nivizie wa Kwanza kuingiza / kupenyeza Kichwa chake Dirishani Kwangu na nikitenganishe Kichwa chake na Kiwiliwili?

4. Wakija Kuniibia nimtegemee tu Mungu wangu wa Kanisa Katoliki au nimwage Maji ya Mtume Mwamposa Chumbani Kwangu?

5. Wakija Kuniibia niweke CD yenye Mlio wa Risasi na niiseti iwe inajirudia kila baada ya dakika 15 ili Kuwatisha?

6. Wakija Kuniibia nitegeshe Flat Screen yangu iliyochoka kama DalaDala za Vikindu Dirishani kisha kwa Makusudi niweke Mkanda wa Mibaiolojiano / Mibanduano ili iwatamanishe na Wategeshe Mimacho yao kisha nitoke nje taratibu nikawashtue Majirani na tuje Kuwadaka kiurahisi na tuwapige Usiku Kucha hadi IGP Mwetu ( Poti ) Mzanaki Mwenzangu Wambura atakapokuja Kumuokoa na Police wake?

7. Wakija Kuniibia kwa Makusudi niwashe Taa na nijifanye nafanya Mazoezi ya Karate huku nalia Kikarateka kama Muasisi Bruce Lee na muda mwingine niwe napiga Sarakasi za Miguu juu Ukutani na nimalizie kwa Kucheza na Panga huku nikiliburuza Sakafuni Kiukakamavu na nikimaliza nijifanye naongea na Simu na Mwanajeshi wa Lugalo King Kong III nikimuulizia Bunduki yangu ameiacha na Risasi ngapi kwani nataka kuanza Zoezi langu tukuka la Kulenga Shabaha kwa Usiku huu?

Nayasubiri majibu yenu kwani bado nawaona wanapitapita Kimkakati usawa wa Dirisha langu hivyo nami nataka kuwaonyesha kuwa Mimi ni Mtoto wa Mjini kuliko Bujibuji Simba Nyamaume, Bila bila na adriz
 
Je,

1. Wakija Kuniibia nimsaidie Kazi Israeli ili wakayaanze Maisha yao mapya Kinondoni au Kisutu?

2. Wakija Kuniibia niwe tu Mpole wachukue watakacho

3. Wakija Kuniibia nivizie wa Kwanza kuingiza / kupenyeza Kichwa chake Dirishani Kwangu na nikitenganishe Kichwa chake na Kiwiliwili?

4. Wakija Kuniibia nimtegemee tu Mungu wangu wa Kanisa Katoliki au nimwage Maji ya Mtume Mwamposa Chumbani Kwangu?

5. Wakija Kuniibia niweke CD yenye Mlio wa Risasi na niiseti iwe inajirudia kila baada ya dakika 15 ili Kuwatisha?

6. Wakija Kuniibia nitegeshe Flat Screen yangu iliyochoka kama DalaDala za Vikindu Dirishani kisha kwa Makusudi niweke Mkanda wa Mibaiolojiano / Mibanduano ili iwatamanishe na Wategeshe Mimacho yao kisha nitoke nje taratibu nikawashtue Majirani na tuje Kuwadaka kiurahisi na tuwapige Usiku Kucha hadi IGP Mwetu ( Poti ) Mzanaki Mwenzangu Wambura atakapokuja Kumuokoa na Police wake?

7. Wakija Kuniibia kwa Makusudi niwashe Taa na nijifanye nafanya Mazoezi ya Karate huku nalia Kikarateka kama Muasisi Bruce Lee na muda mwingine niwe napiga Sarakasi za Miguu juu Ukutani na nimalizie kwa Kucheza na Panga huku nikiliburuza Sakafuni Kiukakamavu na nikimaliza nijifanye naongea na Simu na Mwanajeshi wa Lugalo King Kong III nikimuulizia Bunduki yangu ameiacha na Risasi ngapi kwani nataka kuanza Zoezi langu tukuka la Kulenga Shabaha kwa Usiku huu?

Nayasubiri majibu yenu kwani bado nawaona wanapitapita Kimkakati usawa wa Dirisha langu hivyo nami nataka kuwaonyesha kuwa Mimi ni Mtoto wa Mjini kuliko Bujibuji Simba Nyamaume, Bila bila na adriz
Kuwakomesha, ONDOKA KABISA HAPO NYUMBANI WAACHE WAENDELEE NA YAO.
 
IMG_0195.jpg
popoma katika ubora wako..
Tumekuelewa.
 
Yaani jamaa kuna wakati sijui huwa anawaza nini😃.
Ukute akiwa home na wife wake huwa hakohoi ila ana compensate kwa kuingia JF kuja kutupiga mikwara.
Akiulizwa unafanya nini kwenye simu muda wote anajibu "nataka kukutumia M-Pesa ila mtandao unasumbua bebi"
 
Binafsi kuna mtu alinikera na alikuwa na deni la mda mrefu. Nikaandika jina lake kwenye dushe langu nikapiga picha 😀 nikamtumia ili ajue popote alipo jina lake lipo kwenye dushe langu. .

short story alirudisha hela yangu na kuomba nifute jina lake kwenye dushe langu. Lazima tuheshimiane😀
 
Back
Top Bottom