Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Habari za kuamka wakuu.
Kuna vimaneno ambavyo vinaibuka mitaani ambavyo hata huwezi chanzo chake vimetokea wapi.
Hata hata hivyo, mimi nikikusikia unayatumia moja kwa moja nakuweka kwenye kwenye kundi ambalo nalifikiria na moja ya makundi hayo hautakaa usiwe na kundi moja wapo.
Kuna haya maneno kwamfano "Vele, wooooza, mwana" na mengineyo ambayo nimeyasahau. Yaani nikikusikia hata kama wewe ni rafiki yangu basi naanza kujitenga na wewe aidha utakua unavuta bangi, unakunywa mapombe kupitiliza au madawa ya kulevya.
Na sisemi hivi kwasababu siyatumii mimi hapana, nimejaribu kufanya uchunguzi nikagundua yanatumiwa na watu hao na humu wamo akina shem wangu Shunie anatumia.
Na pia kama kuna mtu anabishana na mimi kwa hili nnalosema afanye uchunguzi na yeye atapata majibu kama nasema uongo au ni ukweli.
Nawakilisha.
Kuna vimaneno ambavyo vinaibuka mitaani ambavyo hata huwezi chanzo chake vimetokea wapi.
Hata hata hivyo, mimi nikikusikia unayatumia moja kwa moja nakuweka kwenye kwenye kundi ambalo nalifikiria na moja ya makundi hayo hautakaa usiwe na kundi moja wapo.
Kuna haya maneno kwamfano "Vele, wooooza, mwana" na mengineyo ambayo nimeyasahau. Yaani nikikusikia hata kama wewe ni rafiki yangu basi naanza kujitenga na wewe aidha utakua unavuta bangi, unakunywa mapombe kupitiliza au madawa ya kulevya.
Na sisemi hivi kwasababu siyatumii mimi hapana, nimejaribu kufanya uchunguzi nikagundua yanatumiwa na watu hao na humu wamo akina shem wangu Shunie anatumia.
Na pia kama kuna mtu anabishana na mimi kwa hili nnalosema afanye uchunguzi na yeye atapata majibu kama nasema uongo au ni ukweli.
Nawakilisha.