Amezingua kinoma hafu cha ajabu sio wa dar ni wa mwanzaHahahahaaa. Huo ushoga sasa
Kwani mkuu mada zote zinakua za fb?Afadhali mada yako ya leo haina neno fb(facebook)..
Na wewe umo mkuu.Veda kala veda
Nini babyMmmmh
Mimi mbona ni mlevi mbwa kabisa, yaani hata usisumbuke Kuni groupNa wewe umo mkuu.
Hapana cha watoto wa kike hata wanaume nawasikia wakisema, kwa hiyo na hao ni wanawake?Huyu mtoa mada tu hajui maneno mengine yanavyotumika ndo shida yake. Aseme ni wapi alisikia mvuta bangi au mla madawa ya kulevya akisema wooozaaa. Kwanza ni neno la kike ye mwanaume hawezi elewa misemo ya watoto wa kike ndo maana kakazania ni neno baya. Tutalitumia kama kawa kama dawa asolipenda atajimurder
Kwahiyo unataka kunambia hao wanaume wanaotumia wana shanga?Wanatumia wanawake wala hujazeeka sio neno linalokuhusu tu
Basi unatumia cha Arusha japo sio sana.Neno oyaa kwa marafiki zangu natumia kama kawaida yani.
Sina hata mawazo mkuu nafurahisha genge tu kuwa na amani.Punguza msongo wa mawazo mkuu
Wengine wanalitumia bila kujua linamaanisha niniKuna mwanaume mmoja Jana kanitext .. Kaniita my .. ***** ... Kilichomkuta atawasimulia hadi wajukuu zake .. Watu wengine wajinga sana
Asilimia kubwa ya mada zako..mara 'nilikuwa nachati naye messenger"Kwani mkuu mada zote zinakua za fb?
HahahahaEheee kama hayo ndo nawachukulia wameshaoza.