Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Vyovyote mnavyofikiria sawa tu hatujuani humu
Kwa mujibu wa mtoa mada kumbe kuna mateja na wavuta bangi wanawake wengi sana humu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kwa mujibu wa mtoa mada kumbe kuna mateja na wavuta bangi wanawake wengi sana humu
mpitie leo tukampime mkojoKuna mwanaume mmoja Jana kanitext .. Kaniita my .. ***** ... Kilichomkuta atawasimulia hadi wajukuu zake .. Watu wengine wajinga sana
Shem we najua huvuti nachangamsha genge tu.Woooooooooooooooozeeeeeeeeerrr [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] acha tu uniwazie navuta bangi tu kila mtu na mawazo yake shem
Hahaha[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] wooooooooooooooozeeeeeeerrrr
Shem we najua huvuti nachangamsha genge tu.
Hahaha
Dah imebidi nicheke tu hii mbegu unayoipanda sijui ikiota inakuaje mkuu
Nasubiri ije nyingine ya mnaotumia hvyo viemoj vya fire[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
HahaahahaaaOyaa Mzigua good morning mwanangu. Usinijibu navuta Bangi
Aaaah atakua na vielement vya pwani huyoAmezingua kinoma hafu cha ajabu sio wa dar ni wa mwanza