Hivi vitimu vinajitutumua na kuja na nyuzi za kumponda mnyama kushindwa kumfunga Al Ahly.
Kitimu kingine hata kuingia makundi tu imewachukua miaka zaidi ya 20 lakini kuna vishoga pale vina mdomo mreefu utadhani haviridhishwi huko nyuma mwiko.
Timu inayojinasibu kuwa bingwa wa kihistoria tulitarajia imeshiriki mara nyingi zaidi michuano ya club bingwa na hivyo ingekuwa inaongelea mafanikio ya kushiriki club bingwa kwa miaka yote hiyo.
Hata hivyo inasikitisha kuwa rekodi yao ni mbaya na sasa ili wapate kiki wanajipendekeza kwa mnyama na kujidai eti watani.
Kubalini tu ninyi ni kama inzi wa kijani mnatusumbua tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kitimu kingine hata kuingia makundi tu imewachukua miaka zaidi ya 20 lakini kuna vishoga pale vina mdomo mreefu utadhani haviridhishwi huko nyuma mwiko.
Timu inayojinasibu kuwa bingwa wa kihistoria tulitarajia imeshiriki mara nyingi zaidi michuano ya club bingwa na hivyo ingekuwa inaongelea mafanikio ya kushiriki club bingwa kwa miaka yote hiyo.
Hata hivyo inasikitisha kuwa rekodi yao ni mbaya na sasa ili wapate kiki wanajipendekeza kwa mnyama na kujidai eti watani.
Kubalini tu ninyi ni kama inzi wa kijani mnatusumbua tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app