Kuna vitu ambavyo hutakiwi kuzidiwa na Mwanamke

Kuna vitu ambavyo hutakiwi kuzidiwa na Mwanamke

Mungu ametuumba kwa kututofautisha katika kila kila kitu!
Kwenye mapenzi hatuangalii hvyo vitu tunaangalia mapenzi ya dhati japokua wanaume wengi kama umewazidi wanakosa kujiamini!

Ila maisha hayako hvyo maisha ni maridhiano
 
Labda nitoe ufafanuzi kwenye point ya pili.

Ni kweli mwanamke hatakiwi kukuzidi kwa ELIMU ila hapa ninaongelea ELIMU ya maisha sio ELIMU ya kukariri vitabu darasani.

Mwanaume unatakiwa uwe na uweza wa kung'amua mambo kwa kina , undani na uhalisia zaidi.

Mwanamke hata awe na elimu kiasi gani bado ataendelea kutumia hisia katika kufanya maamuzi.
 
Mungu ametuumba kwa kututofautisha katika kila kila kitu!
Kwenye mapenzi hatuangalii hvyo vitu tunaangalia mapenzi ya dhati japokua wanaume wengi kama umewazidi wanakosa kujiamini!

Ila maisha hayako hvyo maisha ni maridhiano
mi sijasema ktk mapenzi[emoji23]
 
Unajidanganya tu Unadhani wanawake ndio wamechaguliwa kushindwa tu?

Kitu pekee ambacho huwezi kushindana na mwanamke kwa sasa ni kupata (Hedhi na Mimba) Vingine vyote wanaweza kupata na kukuzidi.
Neno langu sio sheria mkuu,, ila vizuri sana ukamzidi huyu kiumbe
 
Back
Top Bottom