Kuna vitu muhimu zaidi kuliko Katiba, kubali au kataa

Kuna vitu muhimu zaidi kuliko Katiba, kubali au kataa

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
204
Reaction score
231
Bado nawashangaa sana watu waliokuwa wanaibeza Royal Tour na kusema kwamba Rais Samia Suluhu anapoteza muda bora katiba.

Mimi nafikiri sasa watanzania tunapaswa kutambua kuna vitu vya muhimu zaidi kuliko katiba, hivi royal tour ingefanyika saa ngapi kama mama angeanza na katiba?

Hivi mnahisi mchakato wa katiba ni rahisi kama kuchagua kilanja wa darasa?

Sasa hivi tunajivunia matunda ya Royal Tour na hii ni kwa sababu Rais Samia aliona umuhimu wake, katiba ipo na itafanyiwa kazi lakini kuna vitu vya muhimu zaidi ya katiba.

Kubali kataa.
 
Mkuu royo tua ina impact gani kwa mtanzania wa kawaida
Imepunguza mfumuko wa bei
Mtu aliye kule majimoto royo tua ina msaidia kuleta huduma bora za jamii

Kama tunaweza tumia billions of shillings kufanya royo tua
Tunaacha mama na mtoto ana kosa huduma bora hospital
Huoni kwamba ni ujuha [emoji817]%
 
Bado nawashangaa sana watu waliokuwa wanaibeza Royal Tour na kusema kwamba Rais Samia Suluhu anapoteza muda bora katiba.

Mimi nafikiri sasa watanzania tunapaswa kutambua kuna vitu vya muhimu zaidi kuliko katiba, hivi royal tour ingefanyika saa ngapi kama mama angeanza na katiba?

Hivi mnahisi mchakato wa katiba ni rahisi kama kuchagua kilanja wa darasa?

Sasa hivi tunajivunia matunda ya Royal Tour na hii ni kwa sababu Rais Samia aliona umuhimu wake, katiba ipo na itafanyiwa kazi lakini kuna vitu vya muhimu zaidi ya katiba.

Kubali kataa.
Akili za Lumumba mnaelewana wenyewe......!!
 
Back
Top Bottom