Kuna vitu ukiona hutakiwi kuuliza

Kuna vitu ukiona hutakiwi kuuliza

Joined
Nov 8, 2017
Posts
59
Reaction score
63
Ukiona
1. Mtu ana mtoto hutakiwi kuuliza kama alisex.
2. Mtu kaleta lorry lina matofali hutakiwi kuuliza anajenga
3.Tecno, itel na infinix hutakiwi kuuliza hii simu inaubora?
4.Mdada kavaaa nguo fupi anatembea moja kwa moja jua anauza papuch
5. Mwalimu kwa hasira kabeba fimbo anaelekea darasani hutakiwi kuuliza anaenda nayo kufanya nini?
6. Bidhaa ya kampuni ya haier, hisense, TCL, vivo, xiaomi moja kwa moja imetengenezwa china (Made from China).

Members ongezeeeni.
 
Ukiona
1. Mtu ana mtoto hutakiwi kuuliza kama alisex.
2. Mtu kaleta lorry lina matofali hutakiwi kuuliza anajenga
3.Tecno, itel na infinix hutakiwi kuuliza hii simu inaubora?
4.Mdada kavaaa nguo fupi anatembea moja kwa moja jua anauza papuch
5. Mwalimu kwa hasira kabeba fimbo anaelekea darasani hutakiwi kuuliza anaenda nayo kufanya nini?
6. Bidhaa ya kampuni ya haier, hisense, TCL, vivo, xiaomi moja kwa moja imetengenezwa china (Made from China).

Members ongezeeeni.
Una maana hizo simu zote ulizotaja sio bora?
 
Back
Top Bottom