Kuna vitu vinanipa raha ila nikionyesha kufurahi naonekana ninachanganyikiwa

Kuna vitu vinanipa raha ila nikionyesha kufurahi naonekana ninachanganyikiwa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mtaani kuna mambo yanafurahisha sana mimi napenda kula hasa asubuhi nile supu juice ya passion ama parachich na Mihogo ama Maharage na mayai pia napenda kushabikia yanga team napenda kucheza mziki hasa amapiano za south ama tamaduni muzik au old bongo fleva pia napenda na pombe pia stripchart za Kenyan ama south Africa ama Columbia au USA mara nyingi nikiwa ndani ya vitu hivyo huwa nacheka na kufurahi na kupenda kutania watu huwa ninacheka cheka sana yaani ukiniona nimenuna jua nimewaza madeni yangu ila tofaut na hapo nimewekeza sana muda wangu kwenye furaha. Sasa ile hali ya kucheka cheka inafanya baadhi ya watu waniambie ninakaribia kuchanganyikiwa sasa Nina jiuliza ni kweli au maneno yao tu ya wivu.
 
Potezea, hata usiwaze

Utajinyima furaha yako

Mimi ninaangalia animated films na shows, naambiwa naangalia vitu vya watoto, nachekelea tu.
Hao wanaobeza animated films huenda hawajui utamu wake,,,kinachoangaliwa ni story
Kitu kama ESCAPE FROM MADAGASCAR utaachaje kukianglia kwa mfano!
 
Chukua hio
1680605525197.jpg
 
Kuchekacheka sana nalo ni tatizo, yaweza kuwa unacheka kukimbia uhalisia wa mambo, so unakunywa, unafuatilia mambo ya kukupa furaha ilihari siyo furaha bali ni kitendo cha kufunika maumivu. Angalia wewe mwenyewe kujua kama ni kweli au la
 
Back
Top Bottom