Admitted [emoji1732]Jua likisogeaaa,nao wanasogeaaa.....great of all.
HAKUNA!Hivi kuna muimbaji wa muziki wa injili aliwahi tokea kumzidi Rose Muhando, naongelea wote wakike na wakiume?
Kwangu mimi bado sijaona! Ukianza na Uwe Macho, Nibebe, Utamu wa Yesu, hizi album zilikuwa ni mwisho wa matatizo aisee!