britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Mbunge Robert Kyagulanyi Sentamu, hapa alilazimika kulala maskani yake ya zamani na washikaji zake baada ya kujua kuna Mpango wa kumkamata asizuie mswada bungeni wa kumuondolea Mseven umri wa kugombea