britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Nitakuja kuzuia wa jiwe. Ni suala la muda tuKwani nawewe umezuia muswada Wa mtu kujiongezea muda wa kuwapo madarakani ?
Naona anakula chakula Cha getho chapati na maharage, uganda wanaita kikomandoBobbie wine amekulia huko kwenye slums ....kwa hiyo syo mgeni wa maisha hayo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi tu mbonaNaona anakula chakula Cha getho chapati na maharage, uganda wanaita kikomando
Kama chakula hicho ni cha ghetto basi hapa Tanzania almost kila nyumba ni ghetto na 90% ya watanzania wanaishi kigheto, sijui makada mnasemaje hapo? ;Naona anakula chakula Cha getho chapati na maharage, uganda wanaita kikomando
Kama chakula hicho ni cha ghetto basi hapa Tanzania almost kila nyumba ni ghetto na 90% ya watanzania wanaishi kigheto, sijui makada mnasemaje hapo? ;Naona anakula chakula Cha getho chapati na maharage, uganda wanaita kikomando
kiki tu,kulikuwa kuna haja gani ya kujirekod video?hana tifauti na yule jamaa ...........Mbunge Robert Kyagulanyi Sentamu, hapa alilazimika kulala maskani yake ya zamani na washikaji zake baada ya kujua kuna Mpango wa kumkamata asizuie mswada bungeni wa kumuondolea Mseven umri wa kugombea