Kuna wadada humu wananichanganya roho

Kuna wadada humu wananichanganya roho

puppa

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2015
Posts
379
Reaction score
176
Mimi ni member mpya hapa Jf,

Ni dogo wa miaka 17 tu before sijajiunga jf kuna wadada humu nikisoma post zao walikuwa wanakonga nyoyo zangu mpka nimeamua kujiunga jf wadada wenyewe ni heaven on the earth, cute b, madame b, evelyn salt, mgiriki, harufu, bujibuji, apologize lady, charty, aspirin, holygrail, asakunte same, faiza foxy, nifah, badili tabia, kiwatengu.

Yaani kama ningekuwa na pesa ningemuoa ata mmoja sema umri hauruhusu.
 
mimi ni member mpya hapa jf ni dogo wa miaka 17 tu before sijajiunga jf kuna wadada humu nikisoma post zao walikuwa wanakonga nyoyo zangu mpka nimeamua kujiunga jf wadada wenyewe ni heaven on the earth, cute b, madame b, evelyn salt, mgiriki, harufu, bujibuji, apologize lady, charty, Asprin, holygrail, asakunte same, faiza foxy, nifah, badili tabia, kiwatengu yaani kama ningekuwa na pesa ningemuoa ata mmoja sema umri hauruuhusu..


Ha ha haaa babuu Asprin njoo uolewe huku mahari nitatoa mie
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nikanunue popcorn.....si ya kukosa hii

mgiriki njoo huku kuna mtu kakuchokoza
 
Last edited by a moderator:
mgiriki hebu njoo tuandamane huyu apate ban.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom