Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Kuna wa Dada wanamajaribu SMH
Hivi kweli mtu anakupigia simu ya biashara saa 7 usiku ? imekaaje hiyo
Hivi kweli mtu anakupigia simu ya biashara saa 7 usiku ? imekaaje hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kazi ninayofanyabiashara gani
mwisho wa kazi unayofanya na muda aliokupigia umekakajeYa kazi ninayofanya
Wewe unamsema huyo, kuna jamaa yangu wakati hajamuoa mkewe ndio wako kwenye process, huyo mchumba alikuwa mkoa, maza yuko dsm na jamaa yuko dsm. Maza anajipenda anawaka kinoma. Akawa ana tabia ya kumpgia mkwewe usiku saa 6 huko eti anamtakia usiku mwema, na kumuuliza kama amekula. Jamaa akaacha kuwa anapokea simu zake maana hata mazoea hawakuwa nayo.Kuna wa Dada wanamajaribu SMH
Hivi kweli mtu anakupigia simu ya biashara saa 7 usiku ? imekaaje hiyo
Mwmwisho wa kazi unayofanya na muda aliokupigia umekakaje
Kwahiyo kupigiwa tu usiku ushaona majaribu unatangaza?
Akikualika dinner si utaita conference uambie wananchi!!
Em kuwa na kifua.
piss offSasa Unamuuliza nani?
Kazi kweli kweli .... mbuzi anajileta kwa muuza supuWewe unamsema huyo, kuna jamaa yangu wakati hajamuoa mkewe ndio wako kwenye process, huyo mchumba alikuwa mkoa, maza yuko dsm na jamaa yuko dsm. Maza anajipenda anawaka kinoma. Akawa ana tabia ya kumpgia mkwewe usiku saa 6 huko eti anamtakia usiku mwema, na kumuuliza kama amekula. Jamaa akaacha kuwa anapokea simu zake maana hata mazoea hawakuwa nayo.
Acha ushamba wako .... we unaona ni sawa kumpigia mtu simu usiku wa manane je kama ni mume wa mtu ... just piss off sio lazma utoe commentKwahiyo kupigiwa tu usiku ushaona majaribu unatangaza?
Akikualika dinner si utaita conference uambie wananchi!!
Em kuwa na kifua.
Mimi ni mlokole sina mambo hayokwa hiyo umeshawaza kumchungulia?
...Mimi ni mlokole sina mambo hayo
We unadhani atafunguka ? Hapo ni kujiongeza mwenyeweSasa kama huyu kashakwambia ni simu ya kikazi Kuna mtego Gani hapo?
Kama kweli ni ya biashara freshKuna wa Dada wanamajaribu SMH
Hivi kweli mtu anakupigia simu ya biashara saa 7 usiku ? imekaaje hiyo
🤣🤣🙌Kwahiyo kupigiwa tu usiku ushaona majaribu unatangaza?
Akikualika dinner si utaita conference uambie wananchi!!
Em kuwa na kifua.
Hata kama ni ya biashara si atahatarisha ndoa yangu kkKama kweli ni ya biashara fresh
Ila kama sio hapo muda wako wa kulala umepungua