Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
-
- #461
I appreciate....thank you.All the best... Katika hili nakusapoti 100%..... For sure...
[emoji23][emoji23][emoji23] Sasa unadhani kuna kitu utaelewa kwa sasa? Inabidi tukusapoti tu hakuna namna, namuonea tu huruma yule mlokole wako. Ila kuna wanaume motoni mtaenda kuwa kuni.Mbona ghafla [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hayo ndio maombi yangu kila siku....Ulishawahi kumuonba Mungu akupe mke mwema..??
Eeh..kuni tena!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa unadhani kuna kitu utaelewa kwa sasa? Inabidi tukusapoti tu hakuna namna, namuonea tu huruma yule mlokole wako. Ila kuna wanaume motoni mtaenda kuwa kuni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuni ndio.Eeh..kuni tena!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Mlokole sijamuacha, kwa sasa nasoma alama za nyakati kwanza.
Halafu mbona umefunga PM? [emoji4]
Kuna jambo muhimu sana nataka kukushirikisha, pls naomba uifungue kwa walau dk 5 tu au uni-PM wewe then utaendelea kuifunga.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuni ndio.
Pm sijaona umuhimu wa kuiacha wazi ndio mana nimeifunga.
Nimefurahi kuona uwepo wako humu ndani,wazigua wamenilea vizur kwa kipindi nikichoshi huko Handen ππNipo dear maisha tu yalinificha kidogo ila nimerudi
Nimefurahi kuona uwepo wako humu ndani,wazigua wamenilea vizur kwa kipindi nilichoishi huko Handen ππ
Wazigua hatuna baya mkuuNimefurahi kuona uwepo wako humu ndani,wazigua wamenilea vizur kwa kipindi nikichoshi huko Handen ππ
Kweli mkuu mmebarikiwa πWazigua hatuna baya mkuu
Hatukatai, bar made ni kazi lakini vitendo vya barmade wengi ndio wanaifanya hiyo kazi idharaulike kwa kujiuza. Kuna wengi tu hawana mambo hayo. Huyo dada kama hii story ni ya kweli,
kitendo cha kwenda nyumbani kwa huyo kaka kinatia shaka. Kwa mtu ambaye anajiheshimu hawezi kudhalilisha mwili wake kwa kujiuza.
Sasa kama una macho yako ya rohoni huku umefuata nini si umalize kazi na macho yako ya rohoni ayo umuoe uyo malaya aliye achika mara kadhaa ili na wewe upate fundishoHuyo ndg wa huyo binti ni mtu ambaye namuamini sana. Hawezi kunishuhudia uongo. Hana sababu ya kufanya hivyo. Hata Binti mwenyewe, Kwa sisi wenye macho ya rohoni anaonekana ni mkweli kabisa.
Pole umeolea wahuni πππππππππππππkweli kabisa naomba kwaya wote hovyo kabisa.oa kabisa baada ya kuzalisha ndio umtafutie kazi au kumfungulia biashara.hakikisha umeenda kujitambulisha kwao na kwenu.tulioa mabarmed tunaenjoy sana kwanza mzuri pia anajua kila kitu
Hakuna kitu kama hicho ndugu madem wote wa Bar ni malaya tu na wameshaliwa vya kutosha mpaka wamekua suguSI KILA MHUDUMU WA BAR NI MALAYA,, Kuna Bar flani kipindi npo Dom ilikua na mhudumu mzuri tu hv alikua mchangamfu sana alikua kila akiniona ananchangamkia sasa siku moja sikutaka mchezo nilimpangilia vzuri tu na nkamuahidi dau zuri tu lakn alikataa katukatu kwakua ndo walikua wanakalibia kufunga siku hyo akaniahidi nitafute siku nzuri na sehemu nyngne tupige story na anipe background ya maisha yake Aloooohh Trust me si kila mhudumu ni Malaya ni Shida tu ndo zinazowakabili na ni wachache sana wanaoshindwa kutoka kwny huo mtego..
Basi Mungu amejibu maombi Yako kaka .Hayo ndio maombi yangu kila siku....
Uyu dem unaye muongelea mbona kama namfahamu lakini mimi nilipo kutana nae aliambia ukweli kua amewaka Megawatt nikasepa mbio mbio ππ na sasa hivi amesha ingia kwenye system ya Tamisemi yuko mkoa fulani hiviπ€£π€£π€£jumatatu ukienda kazin, hutokuta Kila kitu Ndani.
Bar Maid , hapelekwi nyumban.
Kama ulitaka kumjua, ungemjua akiwa Kwa Huyo best uliompita madarasa mawili.
Kila Bar Maid husema "ukija kunichukia ,Njoo na vipimo vya Ukimwi,".
Ukienda kweli Na Vipimo, anakupiga chenga !!
Mwanamke, Msomi ,mwenye kumcha Mungu, anayejua siku Moja anatakiwa kua Mke, ten mzuri mrefu ana shep.. hawezi Kaa kumtembelea Club au kufanya kazi hizo au kunywa mapombeeeee Kwa namna ulivyoelezea !!.
Umepigwa na kitu kizito.
Nakupa Stori, niliwah kutana na Demu kazin kwangu PISI PISI ,mchaga Mmoja mweupee, sura ya kisomali, nzurii, takoo na Shep Hilo.
Yule mwanamke akaniambiaga Amemaliza BAED -UDOM , huku alipona alikua kaolew, ila jamaa kamzengua kaamua kupanga.
Siku Moja nikamuita Lodge fulan hivi, tukala akanywa , Sasa Ile muda wa kulana ..
Kwanza picha linaanza Demu hataki kunyonyana midomo.
Demu hataki kupima oil
Demu anavuma nguo ila akabaki na kiblauzi juu, Nikamuuliza vipi? Kwann hutoi hiko kiblauzi chajuu??.
Akasema ohoo atatoa akitaka kuloga bafuni.
Sasa Mimi Kuna kitu nikishakinotice Kwa mwanamke tu basi nakua na hofu na mchezo unaishia hapo.
Nikawa nmejikaza nikasema kwakua navaa ndom Wacha nipige..
Nilivaa ndomu, ila kabla sijamuingizia paipu nikawa namgusa gusa kwenye maeneo ya MITOKI ( TEZI) ..kwapani, nyuma ya masikio, shingon ... Duuuh nikakuita Kuna MITOKI kwenye kwapa, na nyuma ya masikio, nikawa namdadisi kiujanja ujanja, akadai inamuda mrefu... ( Watu wenye maambukizi ya VVU wengi wanakuaga na MITOKI ya muda mrefu).
Basi nikasema Tena, kwakua na ndomu na kilainishi Wacha nipige tu.
Nikawa nmemuweka DOGGIE , ili kumuweka hiyo stail, kale kablauzi kakashuka Kwa chin kuelekea mabegan kwake.
Nikaona ana ALAMA kama ya kovu la kuungua moto Upande Mmoja WA kulia tu ( Kwa wale walowah kuona mgonjwa wa MKANDA WA JESHI, AKISHAPONA, Huwa kunabaki alama ya kovu).
Nikaunganisha Doti, ya MITOKI na hili la Kovu na Historia zake za UDOM
Nikajua huyu Demu ni MGONJWA .
Mboo ikalala, nikajifanya nmepata dharura, nikampa Hela ya Nauli Misimbazi mitatu, nikasepa.
Kesho yake nikamwambia, Tuonane nimebeba vipimo vya Ukimwi.
OYAAAA, ALINIKWEPAAAAA ...mpaka Leo .
Baada ya siku Kadhaa, nikajaga kuonana naye kwenye Bar Moja maarufu sana, Mimi nilienda kuchukua Kuku alokaangwa .
Demu akapita, ilikua usiku, nmevaa jaketi na kofia, hakunitambua.
Alikua kavaliaa kataiti chupi, alafu na t-shirt , akiashiria kua anajiuza na nimuhudumu wa pale.
.USIFANYE CHOCHOTE NA HUYO DEMU KAMA HUJAMJUA KWA KILA ENGOOO, UTAMUACHA MCHUMBA WA MAANA, UPIGWE NA KITU KIZITO.
Oya wacha nianze kwenda bar nipate wa pili. πMke mwema anapatikana Bar, kanisani wamejaa wanafiki
Maid , si unajua hizi simu saa nyingineBar made tena[emoji23]? Sio made hiyo bwana