Kuna wadada wema tu ila wanauza Baa, shida hizi

[emoji23][emoji23][emoji23] Sasa unadhani kuna kitu utaelewa kwa sasa? Inabidi tukusapoti tu hakuna namna, namuonea tu huruma yule mlokole wako. Ila kuna wanaume motoni mtaenda kuwa kuni.
Eeh..kuni tena!!! [emoji23][emoji23][emoji23]

Mlokole sijamuacha, kwa sasa nasoma alama za nyakati kwanza.

Halafu mbona umefunga PM? [emoji4]
 
Eeh..kuni tena!!! [emoji23][emoji23][emoji23]

Mlokole sijamuacha, kwa sasa nasoma alama za nyakati kwanza.

Halafu mbona umefunga PM? [emoji4]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuni ndio.

Pm sijaona umuhimu wa kuiacha wazi ndio mana nimeifunga.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuni ndio.

Pm sijaona umuhimu wa kuiacha wazi ndio mana nimeifunga.
Kuna jambo muhimu sana nataka kukushirikisha, pls naomba uifungue kwa walau dk 5 tu au uni-PM wewe then utaendelea kuifunga.

Hakuna mtongozo [emoji1], ni jambo la kijamii tu natamani tusemezane.
 

Bar made tena[emoji23]? Sio made hiyo bwana
 
Huyo ndg wa huyo binti ni mtu ambaye namuamini sana. Hawezi kunishuhudia uongo. Hana sababu ya kufanya hivyo. Hata Binti mwenyewe, Kwa sisi wenye macho ya rohoni anaonekana ni mkweli kabisa.
Sasa kama una macho yako ya rohoni huku umefuata nini si umalize kazi na macho yako ya rohoni ayo umuoe uyo malaya aliye achika mara kadhaa ili na wewe upate fundisho
 
Pole umeolea wahuni πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hakuna kitu kama hicho ndugu madem wote wa Bar ni malaya tu na wameshaliwa vya kutosha mpaka wamekua sugu
 
Uyu dem unaye muongelea mbona kama namfahamu lakini mimi nilipo kutana nae aliambia ukweli kua amewaka Megawatt nikasepa mbio mbio πŸ˜‚πŸ˜‚ na sasa hivi amesha ingia kwenye system ya Tamisemi yuko mkoa fulani hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…