Kuna Wajinga walimlaumu Nusrat Henje kukubali Ubunge wa COVID-19 na Wakampongeza Twaha Mwaipaya kugoma kujiunga CCM, Kiko wapi sasa?

Kuna Wajinga walimlaumu Nusrat Henje kukubali Ubunge wa COVID-19 na Wakampongeza Twaha Mwaipaya kugoma kujiunga CCM, Kiko wapi sasa?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hii Nchi ilishapata Uhuru so mambo ya siasa ni ajira tu na kusaka Fursa

Mchungaji Msigwa kalipiwa faini ya Kutoka gerezani na kuahidiwa Ubunge lakini akakataa akidhani Chadema ndio wazazi wake. Leo kaomba mwenyewe kuhamia CCM na kudai Chadema ni ajenti wa shetani

Yupo Twaha Mwaipaya aliahidiwa Ukuu wa wilaya ya Ilala huku Nusrat Wenje akiwa Mbunge, Wote Wawili walikuwa gerezani
Nusrat Wenje alikubali lakini Twaha Mwaipaya alikataa akidhani Chadema ndio wazazi wake 🐼

Twaha umevuna ulichopanda Wenzako akina Lijualikali na Nassari Shavu dodo 😂

Na Wewe Lema JK na Mwigullu ndio wamekurudisha Tanzania, hamia CCM haraka

Chadema haina future Tena na haitapata Kura za majimboni za kufuzu kupata ruzuku kwa sababu mikakati ya Alhaj Mchengerwa ni ya kisayansi na kisheria zaidi

Chadema tuonane 2030 😂😂
 
Hii Nchi ilishapata Uhuru so mambo ya siasa ni ajira tu na kusaka Fursa

Mchungaji Msigwa kalipiwa faini ya Kutoka gerezani na kuahidiwa Ubunge lakini akakataa akidhani Chadema ndio wazazi wake. Leo kaomba mwenyewe kuhamia CCM na kudai Chadema ni ajenti wa shetani

Yupo Twaha Mwaipaya aliahidiwa Ukuu wa wilaya ya Ilala huku Nusrat Wenje akiwa Mbunge, Wote Wawili walikuwa gerezani
Nusrat Wenje alikubali lakini Twaha Mwaipaya alikataa akidhani Chadema ndio wazazi wake 🐼

Twaha umevuna ulichopanda Wenzako akina Lijualikali na Nassari Shavu dodo 😂

Na Wewe Lema JK na Mwigullu ndio wamekurudisha Tanzania, hamia CCM haraka

Chadema haina future Tena na haitapata Kura za majimboni za kufuzu kupata ruzuku kwa sababu mikakati ya Alhaj Mchengerwa ni ya kisayansi na kisheria zaidi

Chadema tuonane 2030 😂😂
Usiwafundishe watu upumbavu.
 
Kwahiyo Uhuni wa CDM ni upi,

Dogo amekaa kinafiki saizi ni mwendo wa kukesha CH na Kina Dr Slaa na kugawa siri za vikao halal vya chama .

Unataka apendwe?

Kilichomnyima kwenda kula hela za CCM kipindi kile ni kitu gani?

Bila uaminifu na utii kwenye siasa utaambulia kuwa fala tu kama wengine...
 
Hii Nchi ilishapata Uhuru so mambo ya siasa ni ajira tu na kusaka Fursa

Mchungaji Msigwa kalipiwa faini ya Kutoka gerezani na kuahidiwa Ubunge lakini akakataa akidhani Chadema ndio wazazi wake. Leo kaomba mwenyewe kuhamia CCM na kudai Chadema ni ajenti wa shetani

Yupo Twaha Mwaipaya aliahidiwa Ukuu wa wilaya ya Ilala huku Nusrat Wenje akiwa Mbunge, Wote Wawili walikuwa gerezani
Nusrat Wenje alikubali lakini Twaha Mwaipaya alikataa akidhani Chadema ndio wazazi wake 🐼

Twaha umevuna ulichopanda Wenzako akina Lijualikali na Nassari Shavu dodo 😂

Na Wewe Lema JK na Mwigullu ndio wamekurudisha Tanzania, hamia CCM haraka

Chadema haina future Tena na haitapata Kura za majimboni za kufuzu kupata ruzuku kwa sababu mikakati ya Alhaj Mchengerwa ni ya kisayansi na kisheria zaidi

Chadema tuonane 2030 😂😂
Kwa hiyo Kanda ya ziwa ni WACHAWI
 
Hii Nchi ilishapata Uhuru so mambo ya siasa ni ajira tu na kusaka Fursa

Mchungaji Msigwa kalipiwa faini ya Kutoka gerezani na kuahidiwa Ubunge lakini akakataa akidhani Chadema ndio wazazi wake. Leo kaomba mwenyewe kuhamia CCM na kudai Chadema ni ajenti wa shetani

Yupo Twaha Mwaipaya aliahidiwa Ukuu wa wilaya ya Ilala huku Nusrat Wenje akiwa Mbunge, Wote Wawili walikuwa gerezani
Nusrat Wenje alikubali lakini Twaha Mwaipaya alikataa akidhani Chadema ndio wazazi wake 🐼

Twaha umevuna ulichopanda Wenzako akina Lijualikali na Nassari Shavu dodo 😂

Na Wewe Lema JK na Mwigullu ndio wamekurudisha Tanzania, hamia CCM haraka

Chadema haina future Tena na haitapata Kura za majimboni za kufuzu kupata ruzuku kwa sababu mikakati ya Alhaj Mchengerwa ni ya kisayansi na kisheria zaidi

Chadema tuonane 2030 😂😂
What a wasted manii
 
Kwahiyo Uhuni wa CDM ni upi,

Dogo amekaa kinafiki saizi ni mwendo wa kukesha CH na Kina Dr Slaa na kugawa siri za vikao halal vya chama .

Unataka apendwe?

Kilichomnyima kwenda kula hela za CCM kipindi kile ni kitu gani?

Bila uaminifu na utii kwenye siasa utaambulia kuwa fala tu kama wengine...
Siasa za Tanzania zinamilikiwa na CCM

Utaelewa October 😂😂😂
 
Back
Top Bottom