Wanasema ashukuru mungu kwa sababu messi anacheza laliga vinginevyo ata hyo tuzo asingepata. Roho inauma kiukweli ila nimekosa wakumlaumu.Yule ndiye Lionel andres messi ..binaadamu aliyeletwa duniani kwaajili ya kufanya shughuli moja tu pekee ...
Kuwafundisha wachezaji wa mpira wa miguu kucheza mpira ..na kutu burudisha wapenzi wa mpira wa miguu
Halafu huyo uliye mtaja kuwa ni beki bora duniani Hiyo tuzo amepewa lini !?,...au ndio mmeshaanza misifa mashabiki wa epl kama ilivyo desturi yenu
Yule ndiye Lionel andres messi ..binaadamu aliyeletwa duniani kwaajili ya kufanya shughuli moja tu pekee ...
Kuwafundisha wachezaji wa mpira wa miguu kucheza mpira ..na kutu burudisha wapenzi wa mpira wa miguu
Halafu huyo uliye mtaja kuwa ni beki bora duniani Hiyo tuzo amepewa lini !?,...au ndio mmeshaanza misifa mashabiki wa epl kama ilivyo desturi yenu
Mchezaji wa kiwango kile ana stahiki kubaki katika club 1kubwa pekee ambayo ndio inaendana na hadhi yake ....club ambayo ina vision za kunyakua mataji kila msimu mpya ... huwezi kumpeleka messi katika club ambazo ina struggle zaidi ya miaka 6 .25.12 .kuchukua tu ubingwa wa mashindano ya ndani na bado zina shindwa...kumtaka aende huko ni kumdhalilishaShughuli moja pekee na kwenye timu moja pekee[emoji23][emoji23]
mkuu mesii hana mpira wowote wa burudani mpira wa burudani alikua ronadinho tu kina mess na ronaldo matokeo zaidiYule ndiye Lionel andres messi ..binaadamu aliyeletwa duniani kwaajili ya kufanya shughuli moja tu pekee ...
Kuwafundisha wachezaji wa mpira wa miguu kucheza mpira ..na kutu burudisha wapenzi wa mpira wa miguu
Halafu huyo uliye mtaja kuwa ni beki bora duniani Hiyo tuzo amepewa lini !?,...au ndio mmeshaanza misifa mashabiki wa epl kama ilivyo desturi yenu
Hv ungekuwa beki ungefanya nn kwenye lile goli maana Suarez sijui alitokea wapi?
Kwhy hayo maneno na wewe unayatilia maanani kabisa.Ila Simba wanasema wanaweza kuwafunga barcelona. Ujue wakati mwingine mtu mpumbavu akiongea jambo kaa kimya tu Mungu atamwonesha ukweli na haki kwa wakati unaofaa
Itakuwa una matatizo ...jinsi messi anavyo wapiga watu vyenga halafu unasema hana burudani ...like seriously !!!mkuu mesii hana mpira wowote wa burudani mpira wa burudani alikua ronadinho tu kina mess na ronaldo matokeo zaidi
Hahaa messi ni mzimuWanasema ashukuru mungu kwa sababu messi anacheza laliga vinginevyo ata hyo tuzo asingepata. Roho inauma kiukweli ila nimekosa wakumlaumu.
Uchambuzi wa pundit Wenger unapeleka lawama za moja kwa moja kwa van Dijk kwenye goli la kwanza😉
Mchezaji wa kiwango kile ana stahiki kubaki katika club 1kubwa pekee ambayo ndio inaendana na hadhi yake ....club ambayo ina vision za kunyakua mataji kila msimu mpya ... huwezi kumpeleka messi katika club ambazo ina struggle zaidi ya miaka 6 .25.12 .kuchukua tu ubingwa wa mashindano ya ndani na bado zina shindwa...kumtaka aende huko ni kumdhalilisha
mkuu chenga za kawaida zile wale uhatari wao kwenye magoli tu kuburudisha mwachie ronadinhoItakuwa una matatizo ...jinsi messi anavyo wapiga watu vyenga halafu unasema hana burudani ...like seriously !!!
Black Panther
Kweli ilitakiwa Winja arudi middle ili foward kama Origi/Fim akae mbele.Laumu Klopp.
Anaumia Keita unaingiza Henderson. Kwanini asiingie Firmino/Sturidge/Origi ili Winaldium (sinauhakika na Spelling) ashuke sehemu ya Keita?