figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mimi binafsi sijafurahishwa ni haya mambo ya kuendekeza ukoloni. sikatai watoto wetu kufundishwa kingereza, lakini hii ya kuwafundisha kuimba wimbo kwa kingerrza napingana nayo. unamfundisha wimbo wa taifa auimbe kwa lugha ya kigeni ili iweje? na kwa manufaa ya nani?. je huo wimbo utaimbwa wakati gani na wapi?. hivi kuna nchi tofauti na tanzania inayoweza kuruhusu watu wake waimbe wimbo wao wa taifa kwa lugha za kigeni.jirekebisheni bana. mia
Mzee wa mia Atuombe radhi Walimu...na hii thread ifutwe
Ndugu mzee wa Mia,usipende kugeneralize kosa la sehemu moja au mtu mmoja kua la wote kitendo cha wewe kusema walimu malimbukeni unatudhalilisha sisi walimu ingekua vema kama ungetoa mfano kwamba ulifanya utafiti kw a shule ngapi ukabaini hilo sasa sio vema kuwaita walimu malimbukeni wakati wewe hujafanya utafiti wa aina yoyote kwa mantiki hiyo tupeni utafiti uloufanya mpaka utuite malimbukeni,kushindwa kufanya hvyo ww ndio limbukeni kwa kuleta taarifa bila utafiti