A
Anonymous
Guest
Habari wakuu,
Tafadhali kuna suala la kufuatilia kuhusu uwepo wa Walimu wasio wataalamu kufundisha masomo wasioyafahamu.
Tunaomba mamlaka husika zisaidie kufichua haya.
Somo la Microbiology first year amepewa mtu hana ufasaha na somo hilo, wanafunzi hawana pa kusemea.
Tafadhali kuna suala la kufuatilia kuhusu uwepo wa Walimu wasio wataalamu kufundisha masomo wasioyafahamu.
Tunaomba mamlaka husika zisaidie kufichua haya.
Somo la Microbiology first year amepewa mtu hana ufasaha na somo hilo, wanafunzi hawana pa kusemea.