mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,555
- 6,972
Kuna baadhi ya mambo yanayoendelea yanastaajabisha sana,yalipigiwa sana kelele huko kabla, yanakuharibia sio kidogo na kadri muda unavyozidi kwenda yanazidi kukuharibia.
Ushauri unapata kutoka sehemu mbalimbali, kuna wanaokupa kukusaidia na wanaokupa kukuharibia japo inaweza kuonekana kwa haraka wanakusaidia.
Jukumu la kuongoza watu wengi ni zito mno. Linahitaji akili kubwa kung'amua mambo mbalimbali.
Hizi Lakini, angalau, tusubiri kidogo, ngoja niendelee kuangalia, labda. Mwisho inakuwa 'too late' waswahili wanasema ukicheka na nyani utavuna mabua.
Kwa style nadhani mkono wetu mmoja unatosha.
Ushauri unapata kutoka sehemu mbalimbali, kuna wanaokupa kukusaidia na wanaokupa kukuharibia japo inaweza kuonekana kwa haraka wanakusaidia.
Jukumu la kuongoza watu wengi ni zito mno. Linahitaji akili kubwa kung'amua mambo mbalimbali.
Hizi Lakini, angalau, tusubiri kidogo, ngoja niendelee kuangalia, labda. Mwisho inakuwa 'too late' waswahili wanasema ukicheka na nyani utavuna mabua.
Kwa style nadhani mkono wetu mmoja unatosha.