Hahahaaaa.Shiiiiidaaaa
Laana inasumbua siku ya mwisho utajibu nn??? Tubu na usafishe njia zako. Kwanza uzi wa hovyo sana huu.Yani wadada wa siku hizi hatari yani umetokewa hata mwezi bado ushatobw dahhh kipindi chetu mpaka upewe chiu ni miaka dah mungu anawaona
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tena mwanamke anayejitambua hawezi kutafuta mwanaume mtandaoni.
MIA WANGU ANA AKILI SANAAA YAANI HAMUMFIKII HATA ROBO, NA MLIVYO WARAHISI HIVYO NDIO KABISAA. MWANAMKE SHURTI UMHANGAIKIE KAMA MWEZI HIVI, SIO NYIE WIKI TU NA MZIGO MSHATOA.
NIMEKUDHARAU[emoji57]
Are u a man? !! [emoji102]Mima wangu ana akili Sana ndyo maana nimemwambia abadilishe ID toka nilimvyomkula
Matukunyema mkuuWadada wa mwendokasi
TZ ya viwanda
Besty hapa hata hauwezi kuelewana kabisa. Hivyo we soma tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bestyyy waambie bhna raha ya hizi makitu walau upigwe acrobatic za maana.. Hata paka hali panya aliejifia[emoji85] [emoji2]
Are u a man? !! [emoji102]
Naona wameufunga Jomoni... Ila ninyi siwawezi kwa kweliii!!Besty hapa hata hauwezi kuelewana kabisa. Hivyo we soma tu.
Are u a man? !! [emoji102][/QUOTE
Hapana Mm mwanamke... Ukitaka kuelewa inabidi ukasome ule uzi mwingine.
Mtanii mwenzio kazidiwaHivyo hukutaka kingine kwake we ulipojua tu ni sukari ya warembo basi ukamtunuku.
Ila na sisi wanawake tuna vituko yaani sukari uilambe wewe, sifa utuletee sisi mbona kama haiusiani.
Au ndio unajipiga promo.