Kuna wanawake si wa kuomba mzigo haraka, utaharibu!

Kuna wanawake si wa kuomba mzigo haraka, utaharibu!

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Zile mada zenu kuwa akija siku ya kwanza aliwe huwa mnadanganyana sana saa nyingine mnapoteza wanawake wa maana kwa tamaa zenu

Ishu ni hivi ukiona umekutana na mwanamke siku ya kwanza tu au ya pili kashaomba hela bas huyo na ww akija tu malizana nae yaani both team score, ila ukiona umefahamiana na mwanamke hata hela yako hajaomba wala kuweka tamaa huyo usiende pupa ukiharakisha umeharibu.

Baadhi ya wadada sio malaya na hawapendagi papara unakuta anakusoma tu kuwa mtulivu.
 
Elimu dunia🎶mwenzenu nilikataaaaaaaa🎤🎤🎤🎤
 
Tuwe na utaratibu wa kuwahi katikq kila jambo nimejifunza hiki kitu kuna matukio niliyachelewesha najuta mpaka.sasa,tutumie nafasi vizuri lakini tusilazimishe
 
Na kuna ambao usipopiga mzigo unaonekana fala.. ishanitokea alinilaumu sana kesho yake kwann sikutembeza comrade kipepe nikamwambia but ulikua mkali na nikishika equator unanitoa mikono... akajibu ulikata tamaa mapema!

Ila kilichomkuta next time utafkir nilikua natafuta tuzo ya AVN kubabeki
 
Wanawake wa maana no wapeleke wapi? Nataka wakuwaendonga tuu
 
Zile mada zenu kuwa akija siku ya kwanza aliwe huwa mnadanganyana sana saa nyingine mnapoteza wanawake wa maana kwa tamaa zenu

Ishu ni hivi ukiona umekutana na mwanamke siku ya kwanza tu au ya pili kashaomba hela bas huyo na ww akija tu malizana nae yaani both team score, ila ukiona umefahamiana na mwanamke hata hela yako hajaomba wala kuweka tamaa huyo usiende pupa ukiharakisha umeharibu.

Baadhi ya wadada sio malaya na hawapendagi papara unakuta Duuh a tu kuwa mtulivu.
 
Zile mada zenu kuwa akija siku ya kwanza aliwe huwa mnadanganyana sana saa nyingine mnapoteza wanawake wa maana kwa tamaa zenu

Ishu ni hivi ukiona umekutana na mwanamke siku ya kwanza tu au ya pili kashaomba hela bas huyo na ww akija tu malizana nae yaani both team score, ila ukiona umefahamiana na mwanamke hata hela yako hajaomba wala kuweka tamaa huyo usiende pupa ukiharakisha umeharibu.

Baadhi ya wadada sio malaya na hawapendagi papara unakuta anakusoma tu kuwa mtulivu.
Mwanangu unatafuta ugomvi na wanawake wa kichaga na kipare bure.
 
Back
Top Bottom