Alikutukana ila wewe ndio hukujuwa na yeye kiingereza haelewei vizuri!Mimi mwanaume lakini kabla sijajibu nilivyo jibu, nataka kuona wanaume wenzangu watajibu nini ndo mana nimeuliza.
Lazima wapuuzi wawepo ili kuwatambuwa Great Thinkers.upuuzi mtupu
Hizi tabia za kuishi kwa mazoea tuachane nazo mwaka huu, leo ni jumatatu muda huu unakwenda Bar kufanya nini? hata kama huna kazi ya kufanya ni bora ukae kwenye Internet uongeze maarifa na ufahamu.Napita tu! Nawahi bar!
Hizi tabia za kuishi kwa mazoea tuachane nazo mwaka huu, leo ni jumatatu muda huu unakwenda Bar kufanya nini? hata kama huna kazi ya kufanya ni bora ukae kwenye Internet uongeze maarifa na ufahamu.
Ha ha haaaaaa, pengine huko bar ndo job kwake! Nalog offHizi tabia za kuishi kwa mazoea tuachane nazo mwaka huu, leo ni jumatatu muda huu unakwenda Bar kufanya nini? hata kama huna kazi ya kufanya ni bora ukae kwenye Internet uongeze maarifa na ufahamu.