Kuna warembo hawanunuliki. Imagine huyu alikataa 100M TZS!

Angepewa Milioni tano angekubali,,,,Mia aliona ni nyingi sana,,,Mia alihisi anajiuza completely ila tano angehisi ni kuhongwa tuu

Anaeza kataa milion mia af kuna mwamba akapiga kwa kumdanganya
 
Chaiii
 
Watu huwa wanadhani Yesu alikuja duniani kuzurura. Haiwezekani uwe ndani ya Yesu katika Roho na Kweli halafu mwili wako uwe dampo la kila taka. Never!
 
Kuna Wanawake humu 10,000 tu hawaachi, Subiri wakushukie kama Nyuki.
 
Ana bei yake tu!jamaa hakufika !wenye akili wanajua pesa ya kupewa Haina thamani huisha haraka sana,alitaka uwekezaji wa kudumu wa nguvu,fikra,hatma muda hisia n.k uitwawo ndoa!

Ndoa huzalisha zaidi ya hizo million 100, Muda akili,Mali za kudumu,hatma n.k!

Ndoa ndio uwekezaji wa kudumu kwa Kila mwanamke ambao ni sawa na hisa zinazozaa Kila mwaka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…