Kuna Washindani wasio na mdomo. Kuna Washiriki Wenye Midomo

Kuna Washindani wasio na mdomo. Kuna Washiriki Wenye Midomo

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Kama ilivyo wekwa bayana hapo awali.

Hakuna namna unaweza kumfunga Al Ahly kwake, tena kwenye game ya mtoano isitoshe zaidi kwenye michuamo ambayo bingwa anabeba pesa nyingi.

Tujipongeze kwa kushiriki, lakini hakuna timu ya kushindana.

Wenzenu Yanga wanajua namna ya kucheza games za mtoano. Nyinyi bado mko kwenye stage ya kushangilia sare home game.

Siri ambayo wanajangwani tunaifahamu kwenye mechi za mtoano ni kumkanda mtu goli za kutosha hapa homeground. Halafu tunaenda kurelax away.

Nyie mapopoma kila siku mechi zenu za mtoano inaishiaga Dar tu. Game ikiisha kila mtu anakuwa na matokeo ya nani anasonga mbele kwenye hatua inayofuata.

Cairo inaenda kujaa full house. Lile straiker lililotola Borrusia Dortmund yaani Anthony Modeste litaenda kuanza game hiyo wakati huo huo atikabwa na uchochoro Che Malone. Beki kisiki

Ali Maâloul anaenda kujumuishwa kikosini ikiwa huku ajacheza.


Ni upuuzi kuamini kuwa unaenda kumfunga AL Ahly kwao. Tena ni upuuzi wa kiwango cha lami//

Asanteni wa kuwa washiriki wema, acha washindani wakashindane.
 
Matokeo ya 2-2 yamewauma,mmeumia sana ni basi tu,ndio hivi mnaleta habari za mechi ya Misri mpunguze maumivu.
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu , kwamba sare ya nyumbani kwako imemuuma nani? Unajua maana ya mechi za mtoano ama unabwabwaja tu? Iyo sare wewe imekusaidia Nini labda kwa mfano? Anayetakiwa kuumia ni Aly ahly ama ni wewe?
 
Mbumbumbu ni mbumbumbu tu , kwamba sare ya nyumbani kwako imemuuma nani? Unajua maana ya mechi za mtoano ama unabwabwaja tu? Iyo sare wewe imekusaidia Nini labda kwa mfano? Anayetakiwa kuumia ni Aly ahly ama ni wewe?
Mlitamani Simba afungwe kwa Mkapa hii mechi lakini aikua hivyo,imewauma basi tu😂😅
 
Kwaiyo Simba kashinda goli ngapi, walikuwa na matarajio makubwa ni makolo Kama wewe Wala usiamishe hoja, kwa mkapa atoki mtu kwa sasa inategemea waganga wa kienyeji wamelipwaje vinginevyo ndio aibu Kama izo
Nyuzi zipo nyingi nyinyi wana Uto mlizokua mkiombea Simba ifungwe kwa Mkapa lakini mmeumbuka,hakua hivyo.roho zinawauma sasa.
soma hapa👇
 
Kama ilivyo wekwa bayana hapo awali.

Hakuna namna unaweza kumfunga Al Ahly kwake, tena kwenye game ya mtoano isitoshe zaidi kwenye michuamo ambayo bingwa anabeba pesa nyingi.

Tujipongeze kwa kushiriki, lakini hakuna timu ya kushindana.

Wenzenu Yanga wanajua namna ya kucheza games za mtoano. Nyinyi bado mko kwenye stage ya kushangilia sare home game.

Siri ambayo wanajangwani tunaifahamu kwenye mechi za mtoano ni kumkanda mtu goli za kutosha hapa homeground. Halafu tunaenda kurelax away.

Nyie mapopoma kila siku mechi zenu za mtoano inaishiaga Dar tu. Game ikiisha kila mtu anakuwa na matokeo ya nani anasonga mbele kwenye hatua inayofuata.

Cairo inaenda kujaa full house. Lile straiker lililotola Borrusia Dortmund yaani Anthony Modeste litaenda kuanza game hiyo wakati huo huo atikabwa na uchochoro Che Malone. Beki kisiki

Ali Maâloul anaenda kujumuishwa kikosini ikiwa huku ajacheza.


Ni upuuzi kuamini kuwa unaenda kumfunga AL Ahly kwao. Tena ni upuuzi wa kiwango cha lami//

Asanteni wa kuwa washiriki wema, acha washindani wakashindane.
Hujui hata unachokiongea.
 
Back
Top Bottom