Kwa hiyo mara zingine siyo vizuri kuwa na akili nyingi.Akili zikiwa nyingi kuliko uwezo
Hili linawezekana pia!Je kama upande huo wa papais kunatitia utajuaje, kwann asipande [emoji16][emoji16], mm mbishi kuliko waha.
Hao ndio viongozi wetu, fasihi hiyo!!!!Mmmh [emoji1745] ni nini hiki?
Hili nalo neno japo huko kupanda huoni hata mti nao unaweza titia?Je, kama upande huo wa papai kunatitia utajuaje, kwa nini asipande? [emoji16][emoji16] Mimi mbishi kuliko Waha.
Nahisi atakuwa ni mkandarasi mtarajiwa wa kunyanyua daraja la Jangwani mita 300.Akili zikiwa nyingi kuliko uwezo.