Mi nakuangalia tu......Kesho naomba kutoka na wewe tukaangalie wote mpira eeeeh!!!
Eeeeeh!!!,hii nayo ni kiboko aisee.Watu wa afya kwa ujumla wake mnaona vitu vingi kumbe.mshana jr Nakumbuka ulishawahi kuleta mada karibu inafanana na hii ya maiti kubembelezwa.... saa nyingine unaweza kufunga vifongo vya shati ukashindwa kabisa yani vinapishana. Nilikuwa siamini, yaani ni kama bahati au ndiyo nilikuwa napelekwa kwenye mafunzo.
Nilihudhuria msiba wa kijana mmoja nadhani alikuwa na miaka kama 22 hivi, tulikuwa tunamuaga hapa Dar ili akazikwe kwao Dodoma. Taratibu zote zilipokamilika ikiwamo ibada kwisha ikabidi kutoa heshima za mwisho. Watu wakatoa heshima zao, baba yake mkubwa akawa anaenda kutoa heshima alikuwa wa mwishomwisho hivi, cha kushangaza maiti ikaanza kulia na kutoa makamasi kama mtu aliye hai..
. ikabidi ndugu waitane nami nikasogea karibu ijapokuwa sikuwa ndugu... wakaongelea jambo hilo...mama mmoja aliyekuwepo hapo nadhani ni mtu wa Mbeya aliwaambia wachukue nguo zake waziweke ndani ya jeneza mpaka Dodoma. Na kweli walifanya hivyo na maiti ikaacha kulia. Nilistajabu sana kwani sikuwahi kuona maishani mwangu.
SOCIOLOGISTTZ kuna wavivu wa kufikiri waliiponda sana ile post lakini hawajui kuwa haya mambo yapo live kabisamshana jr Nakumbuka ulishawahi kuleta mada karibu inafanana na hii ya maiti kubembelezwa.... saa nyingine unaweza kufunga vifongo vya shati ukashindwa kabisa yani vinapishana. Nilikuwa siamini, yaani ni kama bahati au ndiyo nilikuwa napelekwa kwenye mafunzo.
Nilihudhuria msiba wa kijana mmoja nadhani alikuwa na miaka kama 22 hivi, tulikuwa tunamuaga hapa Dar ili akazikwe kwao Dodoma. Taratibu zote zilipokamilika ikiwamo ibada kwisha ikabidi kutoa heshima za mwisho. Watu wakatoa heshima zao, baba yake mkubwa akawa anaenda kutoa heshima alikuwa wa mwishomwisho hivi, cha kushangaza maiti ikaanza kulia na kutoa makamasi kama mtu aliye hai.
.. ikabidi ndugu waitane nami nikasogea karibu ijapokuwa sikuwa ndugu... wakaongelea jambo hilo...mama mmoja aliyekuwepo hapo nadhani ni mtu wa Mbeya aliwaambia wachukue nguo zake waziweke ndani ya jeneza mpaka Dodoma. Na kweli walifanya hivyo na maiti ikaacha kulia. Nilistajabu sana kwani sikuwahi kuona maishani mwangu.
Mi niliwahi sikia hata maiti nyingine zinagoma kunyoosha miguu au hata kuvaa nguo mpaka zipigwe ndio zinakubali
mshana jr njia yaangu ya kutafutia mkate wa kila siku ni nyingine kabisa ila unaweza jua na kupata exprience kupitia kusoma na kuzungumza na watu mbalimbali, ngoja niseme kidogo yale niliyo pata kusoma na kusikia kutoka kwa wahusika wenyew tena wale waliokuwa ni wafanyakazi wa mochwari kwa kipindi fulani ila kwa sasa hawafanyi kazi hiyo, na wameweza sema maana unaambiwa kama waendelea fanya kazi humo yale uyaonayo na kuyasikia yabaki siri yako hata unaebadilishana nae shifti usimjuze otherwise huwe umejipanga haswaaaa tena kisawa sawa, ngoja niweke pozi nije niyaweke vziuri ASAP
kuna story niliwahi kuisikia juu ya mortuary technician mmoja miaka ya zamani kidogo pale mawenzi regional hospital moshi.
alikua akiingia kwenye wodi za wagonjwa na yasemekana akimwambia mtu utanifuata basi ilikua haichukui muda mtu huyo anafariki...
je jambo hili linawezekana au ni story za kahawa?
Kuna vifo sio kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu na kuna watu hufa kwa vinyongo na visasi na wengine hufa ghafla huku wakiwa kwenye jambo moja muhimu sana! Hivyo hata baada ya roho kuachana na mwili bado ile conscious mind haitaki kukubali ile hali
Sasa mshana kwaninin akisimama usimwache uone mwisho wake unakua n nn!?
Kuna mzee mmoja katika harakati za kutafuta life akajikuta ameangukia katika kazi ya kuwa mtu wa mochwari, kazi yake ikiwa
a.kupokea maiti mpya, kuzipanga chini kwqnza kablaa ya kuziweka kwenye mafriji.
b. Kutoa maiti zilizofatwa ili zikazikwe na wanandugu zao
c. Kuosha maiti kwa wale watao hitaji huduma hiii.
d. Kuzika maiti hasa za vichanga ambao ndugu zengine huwa hawaendi nazo kwa ajili ya mazishi.
e.pia anakuwa kama mlinzi wa maiti hizo, maana hufanya ukaguzi na kuzingalia kwa kipindi atacho kuwa hapo.
Huyu mzee kumbwa na mengi hata kupelekea kukimbia siku yake ya shift usiku, ila ngoja twende kwenye topic
haliwahi sema kuna strong willing ambayo watu wanakuwa nayo zinazofanya kuto kubali kufa, au kutotaka kufa kwa wakati huo, au kuna ambao waliweka nadhiri kwenye task au jukumu kuwa hawezi kufa hadi akamilishe, sasa mauti inapo mkuta hapo stil mindi na willing yake inakuwa hazijafa kabisa. Mara nyingi watu hawa huwa ni wanafanyiwa mchezo na wenzao. Kuna kisa alikitolea mfano, Kuna mtu alikuwa anafanyaga mazoez daily, na yey husema lazima amalize round kadhaa ndio apumzke, sasa huyu mtu alipigwa kitu wakati wa mazoezi, akapelekew mochwari lakini alipofika kuna muda aliamka na kuzungumza kuwa ngoja nimalizie round 2 za mwisho, jamaa kaon mengj so hakuon na hajashangazw akamwambia nakusihi ufanye haraka, yule mtu akasimam aka kimbia mule rum, haoa na pale baada ya hapo aka nyoooka mazima, so similar case kama hizi hutokea zingine hazisemi zinafanya tu.
Pia akasema kuna strong will ya kukataa kifo baada ya kuona uchafu au madhambi aliyoyafanya kuwa ni mengi na kujua fika huko aendaki ni kubaya sana, hii hutokea hasa kwa wachawi au wauaji na majambazi sugu. Kuna bibi alifariki alipo pelekw pale baada ya kuumwa muda mrefu sana, majirani ndio waliokuw wanasaidia kuingiza mwili lakini kuna manen walikuw wakizungumza kuhusu skendo na tabia za marehem ikiwemo uchawi, cha ajabu baada ya hao kutoka room yule bib wakati wanafunikwa vzuri usoni alimkamata muhudumu wa michwari akilalamika kuwa kwanini wanatoa siri zake, akisema anamwonyesh wote hadi yey, ila muhudum alimjib sasa umeshafariki baki na aman na manen mengine meng mengi akaachiwa bibi akajinyoosha.
Ila ishu kama mtu ukiwa na unfinished task ambayo ulikweka nadhiri kuwa utaifanya stil mind itakuwa conditioned kuwa active, dats why inasemekana duration inayochukua ubongo wa binadam kuganda au kufa ina tofautian after mauti kufika nahisi ishu ya kuwa determined kweny task fulan itaingia hapaa,
mshana jr