Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Yaani, katika kila tukio linalotokea, nadhani kuna watu huko Polisi ambao kazi yao ni kupindisha ukweli wa mambo kwa namna ambayo hata yule Joseph Goebbels, mkali wa propaganda wa Hitler, angewaonea wivu kwa namna ambavyo wanajua kupindua mambo!
Hebu angalia hili tukio la Mgombea wa Chadema kuuwawa huko Singida:
Source: Mwananchi
Sasa angalia maelezo ya Polisi kuhusu kuuwawa kwa huyu mgombea
Source: Mwananchi
Unona basi; tukio limebadilika kutoka nyumbani kwa mgombea wa Chadema, na kwenda kwenye nyumba "moja". Na wavamizi wamebadilishwa kutoka wafuasi wa CCM na kuwa wafuaasi wa Chadema!
Kweli tuna Jeshi la Polisi! Inafikia mahali kuamini kinachosemwa na jeshi letu la Polisi ni sawa na mamba wa mto Masai Mara kuwaambia nyumbu ingieni mtoni tutawasaidia kuvuka na nyumbu wakaamini! Labda hao nyumbu ni sisi Watanzania!
Hebu angalia hili tukio la Mgombea wa Chadema kuuwawa huko Singida:
Mgombea wa Chadema auawa, askari Magereza mbaroni
Jumatano, Novemba 27, 2024Source: Mwananchi
Sasa angalia maelezo ya Polisi kuhusu kuuwawa kwa huyu mgombea
Source: Mwananchi
Unona basi; tukio limebadilika kutoka nyumbani kwa mgombea wa Chadema, na kwenda kwenye nyumba "moja". Na wavamizi wamebadilishwa kutoka wafuasi wa CCM na kuwa wafuaasi wa Chadema!
Kweli tuna Jeshi la Polisi! Inafikia mahali kuamini kinachosemwa na jeshi letu la Polisi ni sawa na mamba wa mto Masai Mara kuwaambia nyumbu ingieni mtoni tutawasaidia kuvuka na nyumbu wakaamini! Labda hao nyumbu ni sisi Watanzania!