Pole sanaHabari zenyu!
Niende straight kwenye mada kuna baadhi ya watu sijui wana matatizo gani yaani unakuta watu wamepishana kidogo wanaanza kusemeana maneno machafu kuhusu wazazi smdh! Haijawahi nitokea ila hii kitu inakera, inabore na haipendezi hata kidogo. Hebu niulize, Mnatoaga wapi hizo nguvu ffs? Huwa mnajisikiaje? Mnajiona wajanja wenyewe?
Btw mnajijua.
[emoji260]Lesista[emoji41][emoji260]
Habari zenyu!
Niende straight kwenye mada kuna baadhi ya watu sijui wana matatizo gani yaani unakuta watu wamepishana kidogo wanaanza kusemeana maneno machafu kuhusu wazazi smdh! Haijawahi nitokea ila hii kitu inakera, inabore na haipendezi hata kidogo. Hebu niulize, Mnatoaga wapi hizo nguvu ffs? Huwa mnajisikiaje? Mnajiona wajanja wenyewe?
Btw mnajijua.
[emoji260]Lesista[emoji41][emoji260]
Bee my wangu