Kuna watu wa ajabu sana...Jinsia Ke inamambo....

Kuna watu wa ajabu sana...Jinsia Ke inamambo....

Mawematatu

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
468
Reaction score
608
Niende kwenye mada

Moja kwa moja.....ndg kama Ilivyoandikwa ishini nao kwa akili.

Katika suala hili kiumbe Ke anamambo ya ajabu na mwanaume wkt wote anamchwnganya sana. Siwez kuamini mambo ya ndoa ya mtu wanaolala au waliozaa pamoja kuanika mambo ya ndani kai's hiki...

Wanaume Wajue mambo yanakuwa nje nje sidhan kama Kuna muamnifu ktk hii dunia.

AWali wkt mwanamama analalamika. Utadhani yeye hakosei. Kwa haraka haraka utajua hakuna mkamilifu, mwanaume akirudi anaoga na kulala.....mume akitaka kumlala anapapasa ke ilipo na uduu pa pa pa akimakiza hiyooooo.....

Hivi kama mwanaume unamsikikiza ataachaje kukujali, hakuna mtu katili Moja kwa Moja lazima Kuna sababu kwa nn achukie Kias Cha kutokujali wewe
 
Hebu relax na uwasilishe yanayokusibu kwa namna ambayo sote tutaelewa...
 
Mpaka shule zifunguliwe tutakuwa tumeona mengi
 
Duh!Akili imekwama.Sijaambulia kitu.
Hebu relax na uwasilishe yanayokusibu kwa namna ambayo sote tutaelewa...
Kha...umekunywa nn?
Ni hii bangi niliyovuta asubuhi ndo maana sijaelewa ama na wengine hawajaelewa!
Hebu kuweni serious hamjaelewa nini hapo..? Msitake kutufanya tulioelewa kuwa ni wadaku sana halafu nyinyi hampo kiudaku!..

Huyu kagusia vitu vingi vya kwenye ndoa au mahusiano akiwalalamikia zaidi ke kwa Mambo yao,na wanawake hawawasikilizi wanaume ndio maana me tunajiamulia muda mwengine kufanya vile tunavyoona!. Nafikiri kapigwa na kitu kizito huyu..😂
 
Kha...umekunywa nn?
Hebu kuweni serious hamjaelewa nini hapo..? Msitake kutufanya tulioelewa kuwa ni wadaku sana halafu nyinyi hampo kiudaku!..

Huyu kagusia vitu vingi vya kwenye ndoa au mahusiano akiwalalamikia zaidi ke kwa Mambo yao,na wanawake hawawasikilizi wanaume ndio maana me tunajiamulia muda mwengine kufanya vile tunavyoona!. Nafikiri kapigwa na kitu kizito huyu..😂
Kweli kapigwa na kitu kizito,maana Kama amelewa
 
Hebu kuweni serious hamjaelewa nini hapo..? Msitake kutufanya tulioelewa kuwa ni wadaku sana halafu nyinyi hampo kiudaku!..

Huyu kagusia vitu vingi vya kwenye ndoa au mahusiano akiwalalamikia zaidi ke kwa Mambo yao,na wanawake hawawasikilizi wanaume ndio maana me tunajiamulia muda mwengine kufanya vile tunavyoona!. Nafikiri kapigwa na kitu kizito huyu..😂

Kama umeelewa mbona mwishoni una conclude kwa kufikiri?
 
Mkuu heb Kwanza kaa utulie kula ushibe then rudia tena kuandika maana naona hatuja ambulia ktu mzee.,.
 
Kama umeelewa mbona mwishoni una conclude kwa kufikiri?
Ambacho namashaka nacho ni sijui kuwa ni yeye ndo kafanywa hivyo au mtu wake wa karibu Soma vizuri hiyo statement.
 
Ambacho namashaka nacho ni sijui kuwa ni yeye ndo kafanywa hivyo au mtu wake wa karibu Soma vizuri hiyo statement.

Na ndio msingi wa statement yangu hapo juu, nilitaka awe wazi ili watu wamshauri yeye au tujue tunapiga tu stori bila kuwa na subject...
 
Aliyeelewa anieleweshe pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
 
Hebu kuweni serious hamjaelewa nini hapo..? Msitake kutufanya tulioelewa kuwa ni wadaku sana halafu nyinyi hampo kiudaku!..

Huyu kagusia vitu vingi vya kwenye ndoa au mahusiano akiwalalamikia zaidi ke kwa Mambo yao,na wanawake hawawasikilizi wanaume ndio maana me tunajiamulia muda mwengine kufanya vile tunavyoona!. Nafikiri kapigwa na kitu kizito huyu..😂
swadakta mkuu
 
Back
Top Bottom