Kuna watu wahuni duniani watu wameingia kwenye saver za IEBC na kuiba kura

Kuna watu wahuni duniani watu wameingia kwenye saver za IEBC na kuiba kura

goroko77

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2019
Posts
8,845
Reaction score
13,072
Nimesikia hbr kutoka kwa majirani wenzetu kenya kuwa vijana wawili kutoka Venezuela wamekamtwa kwa kuingia kwenye saver za tume ya uchaguzi IEBC na kuiba kura za odinga HAYO wamelezwa na mawakili wanamteta odinga

Jmn vijan someni na muelewe masomo vzr ona tuvijana kutoka Venezuela wamingilia uchaguzi wa Kenya na huwenda uchaguz utarudiwa kwa sababu ya hao vijana tuwili [emoji23]

Uzi tayari ovaa

Sent from my Iphone13 X6598 series lc 20220701
 
Nimesikia hbr kutoka kwa majirani wenzetu kenya kuwa vijana wawili kutoka Venezuela wamekamtwa kwa kuingia kwenye saver za tume ya uchaguzi IEBC na kuiba kura za odinga HAYO wamelezwa na mawakili wanamteta odinga

Jmn vijan someni na muelewe masomo vzr ona tuvijana kutoka Venezuela wamingilia uchaguzi wa Kenya na huwenda uchaguz utarudiwa kwa sababu ya hao vijana tuwili [emoji23]

Sent from my Iphone13 X6598 series lc 20220701
Uzi tyr👏
 
Nimesikia hbr kutoka kwa majirani wenzetu kenya kuwa vijana wawili kutoka Venezuela wamekamtwa kwa kuingia kwenye saver za tume ya uchaguzi IEBC na kuiba kura za odinga HAYO wamelezwa na mawakili wanamteta odinga

Jmn vijan someni na muelewe masomo vzr ona tuvijana kutoka Venezuela wamingilia uchaguzi wa Kenya na huwenda uchaguz utarudiwa kwa sababu ya hao vijana tuwili [emoji23]

Uzi tayari ovaa

Sent from my Iphone13 X6598 series lc 20220701
Hizo ni tuhuma bado kuthibitishwa! Uliona tangia siku ya baada ya kupiga kura utakumbuka vyombo vya habari vilianza kufanya talling! Baada ya siku mbili nakumbuka Reuters nao walianza kufanya Talling! Tume iliulizwa mbona ninyi mko kimya? Tume ilijibu tunasubiri hard copy zitufikie ili tuweze kulinganisha na hiki tulichonacho then tuanze kujumlisha.

Ukiliangalia ili utaona Tume ilikuwa na tahadhari kuwa tusichukue tu yaliyopo kwenye IEBC WEB ila ngoja tusubiri hard copy kwanza ambazo zinaletwa na wasimamizi wa uchaguzi! Huyo wakili alisema hivo kutoka na report ya DCI ambayo imeonyesha kuwa wale Wavenezuela waliingilia mfumo wa IEBC.


Kuna Jaji leo aliwauliza pale Court! Kama hayo yaliyopo kwenye web yalidukuliwa vipi yale ambayo yalisafirishwa na gari mpaka Boma nayo mlijilidhisha kuwa yanatofautiana? Bado hoja haijathibitishwa japo wale Wavenezuela walikuja kweli na walikamatwa kweli ila IEBC walikili kuwatambua na walikili kuwa wale ni maafisa ambao wamekuja kwa kazi maalumu chini ya IEBC! ayah yaliyotokea ata kabla siku ya kupiga kura kufika.


Mawili! Uenda wale Wavenezuela walikuwa na system ya Ulinzi wa mifumo ya IEBC na kuwazuia wadukuzi kudukua mifumo ya IEBC au walikuwa na mishen nyingine ndani IEBC.
 
Hizo ni tuhuma bado kuthibitishwa! Uliona tangia siku ya baada ya kupiga kura utakumbuka vyombo vya habari vilianza kufanya talling! Baada ya siku mbili nakumbuka Reuters nao walianza kufanya Talling! Tume iliulizwa mbona ninyi mko kimya? Tume ilijibu tunasubiri hard copy zitufikie ili tuweze kulinganisha na hiki tulichonacho then tuanze kujumlisha.

Ukiliangalia ili utaona Tume ilikuwa na tahadhari kuwa tusichukue tu yaliyopo kwenye IEBC WEB ila ngoja tusubiri hard copy kwanza ambazo zinaletwa na wasimamizi wa uchaguzi! Huyo wakili alisema hivo kutoka na report ya DCI ambayo imeonyesha kuwa wale Wavenezuela waliingilia mfumo wa IEBC.


Kuna Jaji leo aliwauliza pale Court! Kama hayo yaliyopo kwenye web yalidukuliwa vipi yale ambayo yalisafirishwa na gari mpaka Boma nayo mlijilidhisha kuwa yanatofautiana? Bado hoja haijathibitishwa japo wale Wavenezuela walikuja kweli na walikamatwa kweli ila IEBC walikili kuwatambua na walikili kuwa wale ni maafisa ambao wamekuja kwa kazi maalumu chini ya IEBC! ayah yaliyotokea ata kabla siku ya kupiga kura kufika.


Mawili! Uenda wale Wavenezuela walikuwa na system ya Ulinzi wa mifumo ya IEBC na kuwazuia wadukuzi kudukua mifumo ya IEBC au walikuwa na mishen nyingine ndani IEBC.
Aisee umeandika vzr hi sasa ndio I we Uzi [emoji23]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom