johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni tetesi kwamba kuna kundi la Wanachadema Wakiongozwa na Kiongozi mmoja wa Kanda ya Nyasa wamejipanga kumchukulia Fomu ya kugombea uRais wa JMT Mbowe
Tayari Wanachama wa CUF wametangaza kumchukulia Fomu Prof Lipumba
Mbowe, Lipumba na Cheyo ndio Wenyeviti wa kudumu wa Vyama vyao wakiwa madarakani kwa zaidi ya Miaka 20 sasa kila mmoja
Mlale Unono 😀😀🔥
Tayari Wanachama wa CUF wametangaza kumchukulia Fomu Prof Lipumba
Mbowe, Lipumba na Cheyo ndio Wenyeviti wa kudumu wa Vyama vyao wakiwa madarakani kwa zaidi ya Miaka 20 sasa kila mmoja
Mlale Unono 😀😀🔥
