Kuna watu wana roho mbaya..!

Muvi ugonjwa mbaya sana, kila nikipata sh 20 tu lazima niende kuchek. Duuh my childhood was so awesome
Me nlikua natoa mpaka
Ya sadaka mshua ananipa 20
Naaga naenda church kumbe mzee
Nmeenda kukomaa na komando
Kipenz,brusulii,Arnold shozniga
Nlikua spitwi yan aisee
 
Me nlikua natoa mpaka
Ya sadaka mshua ananipa 20
Naaga naenda church kumbe mzee
Nmeenda kukomaa na komando
Kipenz,brusulii,Arnold shozniga
Nlikua spitwi yan aisee
Nimekula fimbo kichiz kwa faza mkubwa kisa kwenda kucheki video. Kama ningekua naweza ningeenda Hollywood kuchukua kila muv inayotoka
 
Pole sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…