Kuna watu wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mitandaoni, kwani watu wa mitandaoni sio Watanzania au hawapaswi kusikilizwa?

Kuna watu wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mitandaoni, kwani watu wa mitandaoni sio Watanzania au hawapaswi kusikilizwa?

konda msafi

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2018
Posts
1,696
Reaction score
8,763
Kuna watu wana hoja mfu sana. Wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni. Kwani watu walioko mitandaoni sio watanzania au hawapaswi kusikilizwa? Watu wa mitandaoni ndio hawa hawa watu wa mitaani. Au wanadhani watu wa mitandaoni wanatoka sayari nyigine?

Mitandao ni platform sahihi kabisa ya watu wa kawaida kutolea maoni yao, na Rais kama kiongozi wao yupo sahihi kabisa kuyafanyia kazi maoni ya kwenye mitandao maana yametolewa na raia wake ambao hawana uwezo wa kumfuata ikulu na kuongea naye ana kwa ana.

Raia wa kawaida hawana uwezo wa kuonana na Rais kwa urahisi hivyo mitandao ni sehemu pekee ya kuwasilisha malalamiko yao. Na nadhani Rais wetu analitambua hilo ndio maana amekuwa akisisika akiongelea anachokisoma mitandaoni.

Hao wote wanaobeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni nadhani wana matatizo yao binafsi au kuna maslahi yao yanaguswa. Wanataka Rais asisikilize maneno ya mitandaoni halafu asikilize maneno ya wapi ilihali hata wabunge wetu hawatusemei huko bungeni kazi kujipendekeza na kusifiasifia tu kusikokuwa na faida yoyote kwa raia wa kawaida.

Mama Samia njia uliyoichukua ya kusikiliza maneno ya mitandaoni ni sahihi kuliko maelezo yenyewe maana hawa watu wa mitandaoni ndio raia wanaokutegemea uwatumikie kupitia dhamana uliyo nayo na mitandao ndio njia yao pekee ya kukufikishia ujumbe wao maana hawana uwezo wa kukufuata ikulu.

Kazi iendelee.
 
Juzi kati Waziri Mkuu alikosa Wabunge wa kumuuliza maswali huenda hali ni hiyohiyo huko Ikulu washauri wote walishatishiwa kuuwawa na Marehemu Raisi mpaka wameamua kuikimbia Nchi

Sasa ninyi wenyewe ndio mlioyaboronga tuacheni sisi tumshauri Mama Samia namna ya kulivusha Taifa
westbrookswag.png
 
Mwendakuzimu marehemu dikiteta magufuli bana sikuwahi kumwelewa yule babu, utasikia hatufanyii kazi Habari za mitandaoni kama kuna shida watu wakatoe ripoti polisi. Cha ajab Dogo kapost Facebook nyufa za mabweni ya udsm, dakika mbili keshadakwa na kutekwa kusikojulikana.
 
Kuna watu wana hoja mfu sana. Wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni. Kwani watu walioko mitandaoni sio watanzania au hawapaswi kusikilizwa? Watu wa mitandaoni ndio hawa hawa watu wa mitaani. Au wanadhani watu wa mitandaoni wanatoka sayari nyigine?

Mitandao ni platform sahihi kabisa ya watu wa kawaida kutolea maoni yao, na Rais kama kiongozi wao yupo sahihi kabisa kuyafanyia kazi maoni ya kwenye mitandao maana yametolewa na raia wake ambao hawana uwezo wa kumfuata ikulu na kuongea naye ana kwa ana.

Raia wa kawaida hawana uwezo wa kuonana na Rais kwa urahisi hivyo mitandao ni sehemu pekee ya kuwasilisha malalamiko yao. Na nadhani Rais wetu analitambua hilo ndio maana amekuwa akisisika akiongelea anachokisoma mitandaoni.

Hao wote wanaobeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni nadhani wana matatizo yao binafsi au kuna maslahi yao yanaguswa. Wanataka Rais asisikilize maneno ya mitandaoni halafu asikilize maneno ya wapi ilihali hata wabunge wetu hawatusemei huko bungeni kazi kujipendekeza na kusifiasifia tu kusikokuwa na faida yoyote kwa raia wa kawaida.

Mama Samia njia uliyoichukua ya kusikiliza maneno ya mitandaoni ni sahihi kuliko maelezo yenyewe maana hawa watu wa mitandaoni ndio raia wanaokutegemea uwatumikie kupitia dhamana uliyo nayo na mitandao ndio njia yao pekee ya kukufikishia ujumbe wao maana hawana uwezo wa kukufuata ikulu.

Kazi iendelee.
Hao wanatuthibitishia kuwa ndio maadui wa uhuru wa mawazo na habari.Na ndio wanakwamisha kurejea kwa uhuru kamili,habari na mawazo.
 
Kuna watu wana hoja mfu sana. Wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni. Kwani watu walioko mitandaoni sio watanzania au hawapaswi kusikilizwa? Watu wa mitandaoni ndio hawa hawa watu wa mitaani. Au wanadhani watu wa mitandaoni wanatoka sayari nyigine?

Mitandao ni platform sahihi kabisa ya watu wa kawaida kutolea maoni yao, na Rais kama kiongozi wao yupo sahihi kabisa kuyafanyia kazi maoni ya kwenye mitandao maana yametolewa na raia wake ambao hawana uwezo wa kumfuata ikulu na kuongea naye ana kwa ana.

Raia wa kawaida hawana uwezo wa kuonana na Rais kwa urahisi hivyo mitandao ni sehemu pekee ya kuwasilisha malalamiko yao. Na nadhani Rais wetu analitambua hilo ndio maana amekuwa akisisika akiongelea anachokisoma mitandaoni.

Hao wote wanaobeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni nadhani wana matatizo yao binafsi au kuna maslahi yao yanaguswa. Wanataka Rais asisikilize maneno ya mitandaoni halafu asikilize maneno ya wapi ilihali hata wabunge wetu hawatusemei huko bungeni kazi kujipendekeza na kusifiasifia tu kusikokuwa na faida yoyote kwa raia wa kawaida.

Mama Samia njia uliyoichukua ya kusikiliza maneno ya mitandaoni ni sahihi kuliko maelezo yenyewe maana hawa watu wa mitandaoni ndio raia wanaokutegemea uwatumikie kupitia dhamana uliyo nayo na mitandao ndio njia yao pekee ya kukufikishia ujumbe wao maana hawana uwezo wa kukufuata ikulu.

Kazi iendelee.
Jamhuri ya twitter tuko juu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Juzi kati Waziri Mkuu alikosa Wabunge wa kumuuliza maswali huenda hali ni hiyohiyo huko Ikulu washauri wote walishatishiwa kuuwawa na Marehemu Raisi mpaka wameamua kuikimbia Nchi

Sasa ninyi wenyewe ndio mlioyaboronga tuacheni sisi tumshauri Mama Samia namna ya kulivusha Taifa
View attachment 1784688
Hahaa hawawezi kumshauri vizuri. Sisi tutamshauri na Muungwana ataupokea ushauri wetu. Kalaghabahoo
 
Hahaa hawawezi kumshauri vizuri. Sisi tutamshauri na Muungwana ataupokea ushauri wetu. Kalaghabahoo
Wao hawajui tofauti ya ushauri na kufitini naona kila wakikutana na Mama wao ni kumshutu Mbowe tu hawajui zama zimebadilika Mbowe! Mbowe! Inaboa.
mjlol.png
 
Kuna watu wana hoja mfu sana. Wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni. Kwani watu walioko mitandaoni sio watanzania au hawapaswi kusikilizwa? Watu wa mitandaoni ndio hawa hawa watu wa mitaani. Au wanadhani watu wa mitandaoni wanatoka sayari nyigine?

Mitandao ni platform sahihi kabisa ya watu wa kawaida kutolea maoni yao, na Rais kama kiongozi wao yupo sahihi kabisa kuyafanyia kazi maoni ya kwenye mitandao maana yametolewa na raia wake ambao hawana uwezo wa kumfuata ikulu na kuongea naye ana kwa ana.

Raia wa kawaida hawana uwezo wa kuonana na Rais kwa urahisi hivyo mitandao ni sehemu pekee ya kuwasilisha malalamiko yao. Na nadhani Rais wetu analitambua hilo ndio maana amekuwa akisisika akiongelea anachokisoma mitandaoni.

Hao wote wanaobeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni nadhani wana matatizo yao binafsi au kuna maslahi yao yanaguswa. Wanataka Rais asisikilize maneno ya mitandaoni halafu asikilize maneno ya wapi ilihali hata wabunge wetu hawatusemei huko bungeni kazi kujipendekeza na kusifiasifia tu kusikokuwa na faida yoyote kwa raia wa kawaida.

Mama Samia njia uliyoichukua ya kusikiliza maneno ya mitandaoni ni sahihi kuliko maelezo yenyewe maana hawa watu wa mitandaoni ndio raia wanaokutegemea uwatumikie kupitia dhamana uliyo nayo na mitandao ndio njia yao pekee ya kukufikishia ujumbe wao maana hawana uwezo wa kukufuata ikulu.

Kazi iendelee.
Mitandao imevunja vizuizi kati ya wananchi na viongozi
IMG_20210514_185136.jpg
 
Kuna watu wana hoja mfu sana. Wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni. Kwani watu walioko mitandaoni sio watanzania au hawapaswi kusikilizwa? Watu wa mitandaoni ndio hawa hawa watu wa mitaani. Au wanadhani watu wa mitandaoni wanatoka sayari nyigine?

Mitandao ni platform sahihi kabisa ya watu wa kawaida kutolea maoni yao, na Rais kama kiongozi wao yupo sahihi kabisa kuyafanyia kazi maoni ya kwenye mitandao maana yametolewa na raia wake ambao hawana uwezo wa kumfuata ikulu na kuongea naye ana kwa ana.

Raia wa kawaida hawana uwezo wa kuonana na Rais kwa urahisi hivyo mitandao ni sehemu pekee ya kuwasilisha malalamiko yao. Na nadhani Rais wetu analitambua hilo ndio maana amekuwa akisisika akiongelea anachokisoma mitandaoni.

Hao wote wanaobeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni nadhani wana matatizo yao binafsi au kuna maslahi yao yanaguswa. Wanataka Rais asisikilize maneno ya mitandaoni halafu asikilize maneno ya wapi ilihali hata wabunge wetu hawatusemei huko bungeni kazi kujipendekeza na kusifiasifia tu kusikokuwa na faida yoyote kwa raia wa kawaida.

Mama Samia njia uliyoichukua ya kusikiliza maneno ya mitandaoni ni sahihi kuliko maelezo yenyewe maana hawa watu wa mitandaoni ndio raia wanaokutegemea uwatumikie kupitia dhamana uliyo nayo na mitandao ndio njia yao pekee ya kukufikishia ujumbe wao maana hawana uwezo wa kukufuata ikulu.

Kazi iendelee.

Wa mtandaoni ni haohao wa nchi kavu, na Mama akipita barabarani ni haohao watamuinulia mabango.
 
Kuna watu wana hoja mfu sana. Wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni. Kwani watu walioko mitandaoni sio watanzania au hawapaswi kusikilizwa? Watu wa mitandaoni ndio hawa hawa watu wa mitaani. Au wanadhani watu wa mitandaoni wanatoka sayari nyigine?

Mitandao ni platform sahihi kabisa ya watu wa kawaida kutolea maoni yao, na Rais kama kiongozi wao yupo sahihi kabisa kuyafanyia kazi maoni ya kwenye mitandao maana yametolewa na raia wake ambao hawana uwezo wa kumfuata ikulu na kuongea naye ana kwa ana.

Raia wa kawaida hawana uwezo wa kuonana na Rais kwa urahisi hivyo mitandao ni sehemu pekee ya kuwasilisha malalamiko yao. Na nadhani Rais wetu analitambua hilo ndio maana amekuwa akisisika akiongelea anachokisoma mitandaoni.

Hao wote wanaobeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni nadhani wana matatizo yao binafsi au kuna maslahi yao yanaguswa. Wanataka Rais asisikilize maneno ya mitandaoni halafu asikilize maneno ya wapi ilihali hata wabunge wetu hawatusemei huko bungeni kazi kujipendekeza na kusifiasifia tu kusikokuwa na faida yoyote kwa raia wa kawaida.

Mama Samia njia uliyoichukua ya kusikiliza maneno ya mitandaoni ni sahihi kuliko maelezo yenyewe maana hawa watu wa mitandaoni ndio raia wanaokutegemea uwatumikie kupitia dhamana uliyo nayo na mitandao ndio njia yao pekee ya kukufikishia ujumbe wao maana hawana uwezo wa kukufuata ikulu.

Kazi iendelee.

Mkuu hawabezi, bali ni mkakati maalumu wa kumtisha huyo mama asifuate maoni halisi ya wananchi huku mitandaoni, maana wanajua ukweli mwingi uko huku ambao ni hatari kwa maslahi na udhalimu wao. Wanataka mama aendelee kutumia mifumo ya kizamani kupata taarifa, kwani wanajua huko hawezi kukutana na ukweli unaohatarisha maslahi yao.

Kuna kitu kinaitwa mfumo, huko kumejaa watu waovu, na ndio wanaopanga rais apewe taarifa gani, na hawa wanaoitwa mfumo hurithishwa utawala na utawala, na utendaji wao ni kuhakikisha wote walioshiriki kwenye uovu ndani ya nchi hii wanabaki salama. Sasa mama kaja na utaratibu tofauti wa kupata maoni halisi ya wananchi, hali hiyo inawatisha kupita maelezo kwani wanajua wataanikwa.
 
Watu hawana jema
Asiposikiliza watasema dikteta,akisiliza wanasema ana shida,
Tuzidi kumuombea mama Mungu amuongoze na ampe afya njema
Sio wote wanaompinga ni kwasababu kakosea bali kuna sababu zao binafsi,
Mwisho wa yote kazi itaendelea tu come sun,come rain
Mungu ibariki Tanzania!
 
Bibi samia ni dhaifu. Hawezi kuamua jambo mpaka akachungulie facebook wamesemaje.

Mitandaoni kuna maoni ya kila namna. Kuna maoni ya wasomi na ya wendawazimu.

Si kila maoni ya mtandaoni yanafaa.

Lazima ajifunze kufanya maamuzi sahihi bila kufuatilia mihemko ya watu mitandaoni.

Sijui kwanini anakuwa dhaifu namna hii!

Huku ndio kwenye maoni halisi ya wananchi, huko kwenye mfumo mmejaa watu waovu ambao humpotosha rais, kisha akifanya vibaya mnasema rais kushauriwa vibaya. Hivyo acheni mama asikilize maoni halisi ya wananchi atapima kipi sahihi na kipi sio sahihi. Hiyo mifumo ya kizee huko serikalini ya kutengeneza taarifa za kupika ili kumlisha rais kwa maslahi yenu, zimepitwa na wakati.

Yaani karne ya 21 bado mnapeana taarifa kwa kificho kama washirikina.! Sasa hivi mambo ni digital, waovu mnaoishi kianalogia mkatafute kazi nyingine. Mangiri jike nyie.
 
Teknolojia ya habari imekuwa na haiwezi kushindwa tena! Wangekuwa wanajifunza wangetambua jinsi Libya, Tunisia na Misri nilivokuwa wahanga wa mitandao ya kijamii. Wangetambua Trump alivotumia mitandao kupata ushindi 2016!!

Yeyote anayepuuza mitandao kama njia ya mawasiliano - anaishi miaka ya 1947!! Yeyote atakayeitambua na kujifunza kutoka kwayo - anaishi 2047!!
 
Kuna watu wana hoja mfu sana. Wanabeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni. Kwani watu walioko mitandaoni sio watanzania au hawapaswi kusikilizwa? Watu wa mitandaoni ndio hawa hawa watu wa mitaani. Au wanadhani watu wa mitandaoni wanatoka sayari nyigine?

Mitandao ni platform sahihi kabisa ya watu wa kawaida kutolea maoni yao, na Rais kama kiongozi wao yupo sahihi kabisa kuyafanyia kazi maoni ya kwenye mitandao maana yametolewa na raia wake ambao hawana uwezo wa kumfuata ikulu na kuongea naye ana kwa ana.

Raia wa kawaida hawana uwezo wa kuonana na Rais kwa urahisi hivyo mitandao ni sehemu pekee ya kuwasilisha malalamiko yao. Na nadhani Rais wetu analitambua hilo ndio maana amekuwa akisisika akiongelea anachokisoma mitandaoni.

Hao wote wanaobeza Rais kusikiliza maneno ya mtandaoni nadhani wana matatizo yao binafsi au kuna maslahi yao yanaguswa. Wanataka Rais asisikilize maneno ya mitandaoni halafu asikilize maneno ya wapi ilihali hata wabunge wetu hawatusemei huko bungeni kazi kujipendekeza na kusifiasifia tu kusikokuwa na faida yoyote kwa raia wa kawaida.

Mama Samia njia uliyoichukua ya kusikiliza maneno ya mitandaoni ni sahihi kuliko maelezo yenyewe maana hawa watu wa mitandaoni ndio raia wanaokutegemea uwatumikie kupitia dhamana uliyo nayo na mitandao ndio njia yao pekee ya kukufikishia ujumbe wao maana hawana uwezo wa kukufuata ikulu.

Kazi iendelee.
Zamu yetu kutesa kwa zamu kwani wao walishatesa! Walidhani watatesa milele!!! Kwani Mungu ni wao tu? Mungu ni wetu sote!!!!
 
Back
Top Bottom