Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Angalia ni nini kilikuwa kikwako kwako 2023 kabla hujaanza kuota ndoto za abunuasi 2024.
• Je, ulevi ndio ulikuwa kikwazo?
• Uzinzi?
• Kutokuaminika?
• Kukosa elimu na sifa za kuajiriwa?
• Kutoa sadaka kipumbavu?
Maana kuna watu hutoa mpaka sehemu waliyopaswa kutumia wao kwa upumbavu wao.
Imagine mtu anaambiwa ajimalize na muhuni mmoja ilhali huyo muhuni hajawahi kutendewa na Mungu muujiza wa kupata pesa, katajirika na pesa za watu tu.
Usipobadilika maisha yatakufanya kitu kibaya zaidi ya miaka iliyopita.
HERI YA MWAKA MPYA.
• Je, ulevi ndio ulikuwa kikwazo?
• Uzinzi?
• Kutokuaminika?
• Kukosa elimu na sifa za kuajiriwa?
• Kutoa sadaka kipumbavu?
Maana kuna watu hutoa mpaka sehemu waliyopaswa kutumia wao kwa upumbavu wao.
Imagine mtu anaambiwa ajimalize na muhuni mmoja ilhali huyo muhuni hajawahi kutendewa na Mungu muujiza wa kupata pesa, katajirika na pesa za watu tu.
Usipobadilika maisha yatakufanya kitu kibaya zaidi ya miaka iliyopita.
HERI YA MWAKA MPYA.