Kuna watu wanadhani Urusi ni Ushelisheli

Kuna watu wanadhani Urusi ni Ushelisheli

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Hivi nchi ya kwanza kuizunguka dunia anga za juu utasema sio super power? Nchi ya kwanza kudetonet bomu kubwa kabisa la nyuklia duniani ambalo sauti na kishindo chake hakijawahi kurekodiwa popote pale ulimwenguni.

Nchi ambayo kwa wingi wa rasilimali zake hakuna taifa lolote linaikaribia duniani. Uingereza inaingia mara 70 kwa urusi 17000000km2 vs 247000km2. Mabomu ya nyuklia ndio nyumbani kwao kwa wingi wake USA anasubiri.

Kama zilivyo nchi zote za ulaya na marekani upatikanaji wa umeme majumbani ni 100% hata urusi ni hivyo hivyo warusi wana umeme majumbani kwao kwa 100% na haukatiki daima. Jiji la Moscow jiji lenye ma skyscrapers mengi Kati ulaya yote hakuna cha london Paris cologne wala Rome.

Msidhani Russia ni Ushelisheli.
 
Unaangalia geographical location? Pekee mbona huangalii factor zingine? Ukubwa tu sio issue
 
Hivi nchi ya kwanza kuizunguka dunia anga za juu utasema sio super power?
Nchi ya kwanza kudetonet bomu kubwa kabisa la nyuklia duniani ambalo sauti na kishindo chake hakijawahi kurekodiwa popote pale ulimwenguni.
Nchi ambayo kwa wingi wa rasilimali zake hakuna taifa lolote linaikaribia duniani.
Uingereza inaingia mara 70 kwa urusi 17000000km2 vs 247000km2
Mabomu ya nyuklia ndio nyumbani kwao kwa wingi wake USA anasubiri.
Kama zilivyo nchi zote za ulaya na marekani upatikanaji wa umeme majumbani ni 100% hata urusi ni hivyo hivyo warusi wana umeme majumbani kwao kwa 100% na haukatiki daima.
Jiji la Moscow jiji lenye ma skyscrapers mengi Kati ulaya yote hakuna cha london Paris cologne wala Rome.

Msidhani Russia ni ushelisheli.
Waambie hawa maboya
 
Hivi nchi ya kwanza kuizunguka dunia anga za juu utasema sio super power?
Nchi ya kwanza kudetonet bomu kubwa kabisa la nyuklia duniani ambalo sauti na kishindo chake hakijawahi kurekodiwa popote pale ulimwenguni.
Nchi ambayo kwa wingi wa rasilimali zake hakuna taifa lolote linaikaribia duniani.
Uingereza inaingia mara 70 kwa urusi 17000000km2 vs 247000km2
Mabomu ya nyuklia ndio nyumbani kwao kwa wingi wake USA anasubiri.
Kama zilivyo nchi zote za ulaya na marekani upatikanaji wa umeme majumbani ni 100% hata urusi ni hivyo hivyo warusi wana umeme majumbani kwao kwa 100% na haukatiki daima.
Jiji la Moscow jiji lenye ma skyscrapers mengi Kati ulaya yote hakuna cha london Paris cologne wala Rome.

Msidhani Russia ni ushelisheli.
Tanzania ni kubwa kuliko Switzerland!! Lakini unaionaje uswiswi!?
Hivi hapo ulipo unatumia bidhaa Gani ya URUSI!? Wewe na ukoo wenu wote nitajue nn Cha urusi mnatumia!?
 
Tanzania ni kubwa kuliko Switzerland!! Lakini unaionaje uswiswi!?
Hivi hapo ulipo unatumia bidhaa Gani ya URUSI!? Wewe na ukoo wenu wote nitajue nn Cha urusi mnatumia!?
Kwani kutengeneza bidhaa bwashee ndo ujanja?Kuna nchi tajiri duniani kama Qatar,Brunei na nchi nyingi tu ambazo wanaishi kama peponi jee wao wanatengeneza bidhaa gani??
 
Hivi nchi ya kwanza kuizunguka dunia anga za juu utasema sio super power?
Nchi ya kwanza kudetonet bomu kubwa kabisa la nyuklia duniani ambalo sauti na kishindo chake hakijawahi kurekodiwa popote pale ulimwenguni.
Nchi ambayo kwa wingi wa rasilimali zake hakuna taifa lolote linaikaribia duniani.
Uingereza inaingia mara 70 kwa urusi 17000000km2 vs 247000km2
Mabomu ya nyuklia ndio nyumbani kwao kwa wingi wake USA anasubiri.
Kama zilivyo nchi zote za ulaya na marekani upatikanaji wa umeme majumbani ni 100% hata urusi ni hivyo hivyo warusi wana umeme majumbani kwao kwa 100% na haukatiki daima.
Jiji la Moscow jiji lenye ma skyscrapers mengi Kati ulaya yote hakuna cha london Paris cologne wala Rome.

Msidhani Russia ni ushelisheli.
Wewe hilo bomu walilodetonate uliliona au ni habari za mitandaoni tu.

Mbona huko Field Ukraine uwezo wao hatuuoni?

Russi is overated.
 
Back
Top Bottom